imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Kinana ana asili ya Kisomali na alikuwa Jeshini na kama angekuwa ni "hatari" angejiunga na wale "hatari" wenzake na kuipindua Serikali yetu ya kiraia siku nyingi.
Acheni kututisha sisi Wananchi,hata Bibi Ushungi ukimfuatilia utakuta Babu zake walipelekwa Visiwani kutokea Ngazija au Manyema.
Acheni kututisha sisi Wananchi,hata Bibi Ushungi ukimfuatilia utakuta Babu zake walipelekwa Visiwani kutokea Ngazija au Manyema.