Tatizo linaanza jeshi limejivika majukumu ambayo sio yake.Kabla hata ya mkuu wa Majeshi kuongea lolote hapa JF hizo story za Viongozi ambao wanaotuhumiwa kuwa raia wa nchi Jirani zilikuwa zimesambaa Sana...
Kama ?Tatizo linaanza jeshi limejivika majukumu ambayo sio yake.
Waziri Bashe msomali! Anakwiba hela za wanyaturu & wanyiramba na watanzania anapelekwa kwao!Wasomali wapo kwenye chama hadi ikulu
Hatari sana
CHADEMA! Sasa hapo umevuka mipaka!Kama nchi imeweza kuongozwa na mkimbizi tangu 2015-2021, unashangaa nini. Sasa tuna naibu PM
Bado hujapona tu....Kama nchi imeweza kuongozwa na mkimbizi tangu 2015-2021, unashangaa nini. Sasa tuna naibu PM
Lile Lili kuwa tamko LA kisiasa tu bro, akili za CCM ni kama akili za mwijaku, baba levo,manara,na dullar makabila, unatengeneza skendo, watu wanaacha kujadili Mambo ya msingi, wanahamia kwenye jambo sensitive, lakini lililowekwa kitaperi,Kabla hata ya mkuu wa Majeshi kuongea lolote hapa JF hizo story za Viongozi ambao wanaotuhumiwa kuwa raia wa nchi Jirani zilikuwa zimesambaa Sana...
Mwamba gani mwoga mpaka anaamua kuua vijana wadogo ili abaki na sifa za kijinga.Bado hujapona tu....
Tugange ya mbele, MWAMBA hakuwa level yenu aisee! Kama unavyosikia stori za akina Kwame, Haile, basi shukuru ulipata wasaa wakuishi zama za MWAMBA, utakuwa na la kusimulia au hata kuwa hadidu ya rejea.
Si wapo wanaopambana na kumchafua Julius! Angalia juhudi zao, ni kama tone la maji baharini!
Kila anayesema ukweli ni chadema?CHADEMA! Sasa hapo umevuka mipaka!
Mimi mbona nilisema sana hapa jf kuwa nchi ipo mikononi mwa raia feki wapumbavu mlishindwa kunielewa hadi mkuu wa majeshi kafanya fitina mbele ya rais kama honyo kwa rais ...ila wengi mmeshindwa kuelewa kwanini mkuu wa majeshi na team yake wamefikia kumwanika rais hadharani wakati wangeweza kumwambia chini kwa chini ....huyu mkuu wa majeshi inawezekana anajitambua.Kabla hata ya mkuu wa Majeshi kuongea lolote hapa JF hizo story za Viongozi ambao wanaotuhumiwa kuwa raia wa nchi Jirani zilikuwa zimesambaa Sana.
Binafsi siamini kama kweli Jeshi limechunguza saana. Zaidi ya kuja hapa JF na Ku connect dots.
JF imekuwa source ya habari nyingi.
Sasa nafikiri wakati umefika Viongozi wanaotuhumiwa watoe maelezo au serikali itoe maelezo ya kujitosheleza kuliko kukaa kimyaa.
Kimya hiki kinaleta sintofaham nyingi.
Kazi ya kujua huyu si raia ni ya jeshi la uhamiaji na si JWTZ.wao kazi yao ni kulinda mipaka ya nchi zidi ya nchi tokozi.Explain please
Bashe,Kijana nkKama ?
Hao wanaotuhumiwa wanajijua? Manake orodha Yao haijawahi kutolewa hadharani. Tunashauri orodha itolewe kwanza halafu hatua ya kuwahoji ifuate.Kabla hata ya mkuu wa Majeshi kuongea lolote hapa JF hizo story za Viongozi ambao wanaotuhumiwa kuwa raia wa nchi Jirani zilikuwa zimesambaa Sana.
Binafsi siamini kama kweli Jeshi limechunguza saana. Zaidi ya kuja hapa JF na Ku connect dots.
JF imekuwa source ya habari nyingi.
Sasa nafikiri wakati umefika Viongozi wanaotuhumiwa watoe maelezo au serikali itoe maelezo ya kujitosheleza kuliko kukaa kimyaa.
Kimya hiki kinaleta sintofaham nyingi.