Tatizo linaanza jeshi limejivika majukumu ambayo sio yake.
Mmelipa uhamiaji hadhi ya jeshi so kila ni MONUSCOKabla hata ya mkuu wa Majeshi kuongea lolote hapa JF hizo story za Viongozi ambao wanaotuhumiwa kuwa raia wa nchi Jirani zilikuwa zimesambaa Sana.
Binafsi siamini kama kweli Jeshi limechunguza saana. Zaidi ya kuja hapa JF na Ku connect dots.
JF imekuwa source ya habari nyingi.
Sasa nafikiri wakati umefika Viongozi wanaotuhumiwa watoe maelezo au serikali itoe maelezo ya kujitosheleza kuliko kukaa kimyaa.
Kimya hiki kinaleta sintofaham nyingi.
Tangu lini CHADEMA akasema ukweli!Kila anayesema ukweli ni chadema?
TISS= CCM= POLCCM=JWExplain please
Huyu ni Mkuu wa Majeshi...Unaelewa maana yake? Inapokuja kwenye usalama wa nchi Kuna amiri jeshi Mkuu mmoja na Mkuu wa Majeshi mmoja...Elewa tangu leoKazi ya kujua huyu si raia ni ya jeshi la uhamiaji na si JWTZ.wao kazi yao ni kulinda mipaka ya nchi zidi ya nchi tokozi.
Unahakika akamtwe basiWaziri Bashe msomali! Anakwiba hela za wanyaturu & wanyiramba na watanzania anapelekwa kwao!
Kwamba serikali iliyo madarakani ni haramu kwani iliingia kwa wizi wa kuraTangu lini CHADEMA akasema ukweli!