BARD AI JF-Expert Member Joined Jul 24, 2018 Posts 3,591 Reaction score 8,826 Sep 30, 2022 #1 Watumiaji wa gesi asilia kwenye magari wako njia panda kwa siku ya SIku 5 sasa baada ya kukosa huduma hiyo tangu mwishoni mwa wiki iliyopita. Uchunguzi umebaini kuwa mashine ya mgandamizo inayotumika kujaza gesi katika magari imepata hitilafu.
Watumiaji wa gesi asilia kwenye magari wako njia panda kwa siku ya SIku 5 sasa baada ya kukosa huduma hiyo tangu mwishoni mwa wiki iliyopita. Uchunguzi umebaini kuwa mashine ya mgandamizo inayotumika kujaza gesi katika magari imepata hitilafu.
Meneja Wa Makampuni JF-Expert Member Joined Jul 7, 2020 Posts 7,899 Reaction score 10,415 Sep 30, 2022 #2 Mashine ya kituo gani imepata hitilafu?
Amigoh JF-Expert Member Joined May 15, 2016 Posts 2,045 Reaction score 2,975 Sep 30, 2022 #3 SemperFI said: Watumiaji wa gesi asilia kwenye magari wako njia panda kwa siku ya SIku 5 sasa baada ya kukosa huduma hiyo tangu mwishoni mwa wiki iliyopita. Uchunguzi umebaini kuwa mashine ya mgandamizo inayotumika kujaza gesi katika magari imepata hitilafu. Click to expand... Wenye biashara zao washaanza kuleta miyeyusho Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
SemperFI said: Watumiaji wa gesi asilia kwenye magari wako njia panda kwa siku ya SIku 5 sasa baada ya kukosa huduma hiyo tangu mwishoni mwa wiki iliyopita. Uchunguzi umebaini kuwa mashine ya mgandamizo inayotumika kujaza gesi katika magari imepata hitilafu. Click to expand... Wenye biashara zao washaanza kuleta miyeyusho Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Tyrex JF-Expert Member Joined Oct 15, 2012 Posts 2,373 Reaction score 5,100 Sep 30, 2022 #4 Amigoh said: Wenye biashara zao washaanza kuleta miyeyusho Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app Click to expand... Au nimpango Ili wakirudi Waje na bei mpya kubwa zaidi..
Amigoh said: Wenye biashara zao washaanza kuleta miyeyusho Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app Click to expand... Au nimpango Ili wakirudi Waje na bei mpya kubwa zaidi..
Countrywide JF-Expert Member Joined Mar 2, 2015 Posts 20,694 Reaction score 32,527 Sep 30, 2022 #5 Tulieni
Mtemi mpambalioto JF-Expert Member Joined Aug 23, 2015 Posts 3,436 Reaction score 7,955 Sep 30, 2022 #6 Meneja Wa Makampuni said: Mashine ya kituo gani imepata hitilafu? Click to expand... bora uulize wewe maana hii habari ishapitwa na wakati watu wanarusha
Meneja Wa Makampuni said: Mashine ya kituo gani imepata hitilafu? Click to expand... bora uulize wewe maana hii habari ishapitwa na wakati watu wanarusha