Wanaotumia miguu miwili ni bora kuliko wanautumia mguu mmoja?

Hapo Arteta ndio nilimuona bwege.
 
Mimi mwenyewe natumia mguu mmoja ila wa miguu miwili wanasubiri saaana.Mpakaaa wa seeeeme🤓
 
Fundi mtakatifu CAZORLA anapokea mali ma mguu wa kulia, anapiga chenga na wa kushoto, yaani miguu yake yote ilikuwa ya kucheza mpira. Jamii yake ni kina hleb, chizi ousmane dembele, arshavin kidogo, etc.

Kuna wachezaji wao ni mgii mmoja tu, yaani mmoja ni wa kichezea mpira, mwingine wa kupandia kitandani 😂🥚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…