Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Naomba ujumbe huu ufike tuokoe vijana na mabinti, ndoa, na mahsiono hali ni mbaya sana.na sio fair kabisa.
Upishi wa penzi na tendo ni Jambo asilia na ni vema libaki kuwa asilia.
Matumizi ya mkongo, puturu na viagra huleta mifarakano na sintofahamu.
Maisha ya sasa si ajabu kumkuta binti mdogo umri 20yrs Hadi 23 anasufuria kubwa na lenye kina kirefu, unajiuliza alianza lini kusonga ugali wa sufuria hupati picha kumbe Kuna madogo janja wqnajipongeza kwa mkongo, puturu na maviagra.
Kila ratiba za shoo dogo janjaz wanatumia dawa za kuongeza nguvu na kurefusha uume, sisi mabaharia uchwara tunaotumia nguvu za asili tunabaki hatuna jeuri kwenye hisia za wanawake nje na pesa zetu aisee ni hatari sana.
Inaogopesha sana sufuria mmiliki ni mdogo ili kubwa sana na refu sana wasongaji wa kawaida hawaeleweki wanaonekana hawana nguvu za kusonga, wanaaminishwa Wana mwiko mdogo na mfupi kumbe sio.
Jamaani kosa sio lenu wanapelekewa Moto kwa njia ambazo sio fair mkikutana nao wakiwa washaonja Moto wa mkongo, puturu na viagra nyie mnaitwa wanaume wa Dar.
Fanya kwa nguvu zako za asili Maisha ni yako Kuna Kesho wanawake wazuri hawaishi wapo tu kila siku.
Niwatakie heri katika kujutunza kiafya.
Ni mimi Wadiz a.k.a Baharia
Upishi wa penzi na tendo ni Jambo asilia na ni vema libaki kuwa asilia.
Matumizi ya mkongo, puturu na viagra huleta mifarakano na sintofahamu.
Maisha ya sasa si ajabu kumkuta binti mdogo umri 20yrs Hadi 23 anasufuria kubwa na lenye kina kirefu, unajiuliza alianza lini kusonga ugali wa sufuria hupati picha kumbe Kuna madogo janja wqnajipongeza kwa mkongo, puturu na maviagra.
Kila ratiba za shoo dogo janjaz wanatumia dawa za kuongeza nguvu na kurefusha uume, sisi mabaharia uchwara tunaotumia nguvu za asili tunabaki hatuna jeuri kwenye hisia za wanawake nje na pesa zetu aisee ni hatari sana.
Inaogopesha sana sufuria mmiliki ni mdogo ili kubwa sana na refu sana wasongaji wa kawaida hawaeleweki wanaonekana hawana nguvu za kusonga, wanaaminishwa Wana mwiko mdogo na mfupi kumbe sio.
Jamaani kosa sio lenu wanapelekewa Moto kwa njia ambazo sio fair mkikutana nao wakiwa washaonja Moto wa mkongo, puturu na viagra nyie mnaitwa wanaume wa Dar.
Fanya kwa nguvu zako za asili Maisha ni yako Kuna Kesho wanawake wazuri hawaishi wapo tu kila siku.
Niwatakie heri katika kujutunza kiafya.
Ni mimi Wadiz a.k.a Baharia