Wanaotumia simu za iPhone 15% simu zao zimepasuka vioo

Je sababu au chanzo ni nini???Au ndio fasheni ya iPhone!!!
 
Kuna jamaa yangu iphone yake imepasuka afu alikua anai-unblock kwa funguo. mpaka aibonyeee pale katikati
 
Aise wamejuaje...kweli bhana yangu imekula mzinga juzi tu kichwa kinauma.

Yani ingekuwa imelia mzinga sehemu nzur walahi tena nisingebadilisha kioo kbisa
Pole yako dada...na hizo simu zilivyo za gharama daah
 
Na 90% wenye simu zilizopasuka vioo ni wanawake/wadada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…