Wanaotumwa kuwachukulia fedha za TASAF wazee na wasiojiweza wanawaibia

Wanaotumwa kuwachukulia fedha za TASAF wazee na wasiojiweza wanawaibia

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Imeibainika kuwa baadhi ya ndugu, jamaa, marafiki na hata majirani wanaowachakulia fedha za mfuko wa TASAF wahusika wa makundi maalumu kama vile watu wenye ulemavu. Vipofu, wazee nk. ambao hawawezi kufuata wenyewe fedha za mfuko huo, wamekuwa wakiibiwa kwa kupewa fedha Pungufu au kutopewa kabisa fedha zao.

Baadhi ya wazee wamedai kuwa kuna wakati kinapita kipindi kirefu bila kupata fedha hizo au kupata fedha Pungufu kutoka kwa watu wanaowaamini ambao huwachukukulia fedha hizo wakipewa sababu tofauti tofauti.
 
Tumemkalia kooni mwenyekiti wa kijiji alichukua kadi ya benki ya jamaa mmoja mwenye ulemavu mnufaika wa Tasaf miaka miwili nyuma , anakula neema tu .

Na sisi hatuelewi tubaishi naye mpaka alipe hela zote na hapo bado kuwapoza wabakijiji maana uchaguzi umefika .
 
Tumemkalia kooni mwenyekiti wa kijiji alichukua kadi ya benki ya jamaa mmoja mwenye ulemavu mnufaika wa Tasaf miaka miwili nyuma , anakula neema tu .

Na sisi hatuelewi tubaishi naye mpaka alipe hela zote na hapo bado kuwapoza wabakijiji maana uchaguzi umefika .
Mtanzania kwenye fedha ni kiumbe mwingine. Utamaduni wa kupenda shortcut huku tukiwa wavivu na wazembe umetufanya tuwe viumbe wezi na laghai kila sehemu.
 
Tumemkalia kooni mwenyekiti wa kijiji alichukua kadi ya benki ya jamaa mmoja mwenye ulemavu mnufaika wa Tasaf miaka miwili nyuma , anakula neema tu .

Na sisi hatuelewi tubaishi naye mpaka alipe hela zote na hapo bado kuwapoza wabakijiji maana uchaguzi umefika .
Huwa wanapewa kiasi gani?
 
Ni kweli njia ipo
Ni wajibu kila mtu kupambana kwa kila nafasi uliyopo ili kufika kwenye hatma ya mabadiliko ila jamii yetu bado iko nyuma sana hususani vijijini .

Mfano ni jna nimehudhuria maandamano ya CHADEMA hapa mkoani kwetu ila taarifa zimefika mpka kijijini ninakofanyia kazi kuwa nimeonwa kwenye maandamano, sasa kichekesho eti na diwani ananiita leo asubuhi eti kuna jambo halielewi kuhusu mimi .

Direct najua ni mimi kuwa kwenye hayo mambo ila katu siwezi itikia wito wake maana she is not my boss .

Bro let us fight for changes sababu mabadiliko ya leo ni hazina iliyo na tunu kwa mwanangu na wa kwako .

God bless Africa , God bless Tanzania.
 
Kwa nini wasiwapelekee wenyewe hadi majumbani kwao?
 
Back
Top Bottom