Wanaoua na kufanyia ukatili wazazi, ndugu, watoto, n.k hakuna anaependa! shetani hana mkataba, makubaliano na mganga ni kuuziwa kiwanja baharini

Wanaoua na kufanyia ukatili wazazi, ndugu, watoto, n.k hakuna anaependa! shetani hana mkataba, makubaliano na mganga ni kuuziwa kiwanja baharini

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Pesa, Cheo, Umaarufu, n.k. Sio vyote vinapatikana kihalali, kuna njia mchepuko ya kuvipata kwenye ulimwengu wa giza, Hata vitabu vya dini vmeandika Shetani anaweza kufanya hayo ila ni kwa masharti yanayoleta majuto.

Msione watu wanakamatwa wanabaka wajukuu zao mkadhani wote wanapenda, kuua damu zao, kuua wazazi, n.k.

Watu huziita pesa za masharti lakini hii haipo sawa, Masharti huwa tayari yanakubaliwa na mtu anayajua,

Utachoambiwa na mganga siku ya kwanza ni treila la usaliti na uongo wa shetan, kuamini utachoambiwa kwamba sharti litakuwa ni kutoa kafara ya mbuzi ni sawa na kusaini mkataba wa kuuziwa kiwanja kwenye fukwe ya bahari

Siku yoyote shetani akijisikia kupitia majini uliyopewa yatakwambia yanataka damu ya mtoto wako, ndugu yako, n.k. hakuna "lakini sikupewa masharti hayo"

Ukishaua utaambiwa umbake bibi yako, hakuna "lakini sikupewa masharti hayo"
 
Mashariti ni kweli hua tayari anaepewa anayajua.
lkn shetani kazi yake ni ulaghai.

Na ndio maana ukishanogewa na feza anakuja anakwambia tunataka damu ya Mwanao.

We turuhusu tuu sisi tutajua la kufanya😆😆

Ukimwaga wino tuu kesi kwisha.
 
Mashariti ni kweli hua tayari anaepewa anayajua.
lkn shetani kazi yake ni ulaghai.

Na ndio maana ukishanogewa na feza anakuja anakwambia tunataka damu ya Mwanao.

We turuhusu tuu sisi tutajua la kufanya😆😆

Ukimwaga wino tuu kesi kwisha.
Hakuna hio !! Kazi unaenda kuifanya wewe, utachosaidiwa ni kurahisisha mazingira mfano utaambiwa muda wa kwenda akiwa peke yake, na wewe unaweza kupumbazwa macho uone unaua mbuzi
 
Hakuna hio !! Kazi unaenda kuifanya wewe, utachosaidiwa ni kurahisisha mazingira mfano utaambiwa muda wa kwenda akiwa peke yake
Ko kakudanganya unaenda unafanya alafu majuto anakua babu sio mjukuu tena hahaaa.

Tujifunze kuishi maisha yatookanayo na maingizo yetu.

20% alisema Tamaa mbayaa!!!
 
Ko kakudanganya unaenda unafanya alafu majuto anakua babu sio mjukuu tena hahaaa.

Tujifunze kuishi maisha yatookanayo na maingizo yetu.

20% alisema Tamaa mbayaa!!!
Mtu katoa makafara kibao watu wanachotamani ni pesa, nyumba na magari yake.

Wengine wanatumika na shetani, hupewa vitu ghali maksudi watambe navyo hadharani ili kuwanasa kirahisi wenye tamaa
 
Back
Top Bottom