Wanaouza bidhaa za bei rahisi, sahani za plastiki na yeboyebo au viatu vya bei rahisi, mitumba nje ya dareslaam tukutane hapa

Nipo hapa kuchukua madini ila nahisi ukipata minada ya usukumani itakuwa poa sana maana mangosha wanapenda sana hizi yebo.
Vip gharama za yale magari mkuu?
Mtaji wa 1m unaweza anza hii mishe?
Sana mkuu ila nimingia dilemma mana nimepigiwa simu hotel flani niende kupiga kozi kwa muda fulani hiv kule zanzibar. Sijui kama nitabakia huku katika wiki hiz mbili naweza kusepa

Mana hoteli la nyota tano huyo Lamomy Hana jeuri hata ya kununua kashata pale

Cc. Joannah
 

Attachments

  • Screenshot_20241004_184212_Chrome.jpg
    208.9 KB · Views: 8
  • Screenshot_20241004_184206_Chrome.jpg
    227.1 KB · Views: 9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…