chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
sasa s ndio hio mihogo anauza ukute hilo eneo hawauzi, siki hizi hatusemi mfanyabiashara hata wanaouza mwili hujiitwa wajasiriamali
kipyaa kwenye eneo lakini sio kipya kwenye soko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa s ndio hio mihogo anauza ukute hilo eneo hawauzi, siki hizi hatusemi mfanyabiashara hata wanaouza mwili hujiitwa wajasiriamali
Hao nd watu sahihi kwa neno la ujasiriamali na tafsiri yake.wajasiriamali Tanzania ni wachache sana.
wafanyabiashara wadogo wadogo wanajiita wajasiriamali.
uvumbuzi na ubunifu
creativity and innovation
Hao nd watu sahihi kwa neno la ujasiriamali na tafsiri yake.
Najuta kuanzisha thread 😅restful hustler , kazi unayo
usikimbie
Ahsante.. umenielewa 🙏🏼wajasiriamali Tanzania ni wachache sana.
wafanyabiashara wadogo wadogo wanajiita wajasiriamali.
uvumbuzi na ubunifu
creativity and innovation
Yeah!Angeweza kujiita mjasiliamali kwa kuongeza thamani ya mihogo yake kama kufanya packaging na kitu kama hicho
Unaongea vitu vizuri lakini, haujaelewa point ya mleta Mada. Neno mjasiriamali linatumika mahali pasipo sahihiUjasirimali ni mtu mwenye kujituma asie taka kusubiri cha kugaiwa, ni mtu au watu wenye maono ya kujitegemea.
Wapo wajisirimali wanaanzia na kuuza mihogo leo kesho maadanzi kesho kutwa ana mgahawa wake mwenyewe. Kuwa mjaairimali ni njia ya kuanzia safari ya kutoka maisha duni na kuelekea maisha bora.
Jee. Unajua Bakhresa alipo anzia na alipo sasa?
Jee wajua alipo anzia vunja bei na alipo sasa?
Jee. Wajua kama Diamond platinum nae alikuwa mjasirimali wa mitumba unamuona jitihada zake leo alipo?
Hawa nao walikuwa wajasiri mali kabisa usidharau ajira ya mwenzako kwasababu hujui mwisho wako upoje.
Acha kupotosha,neno ujasiriamali ni muunganiko wa maneno mawili,ujasiri na amali,amali ni kazi,kuuza mihogo ni ujasiri wa Hali ya juu kwa kuwa wengi ukiwemo wewe hudharau,ujasiriamali siyo kubuni Jambo jipya linalosaidia jamiiTafsiri ya neno ujasiriamali ni kitendo Cha kuumiza akili(brainstorming) na kubuni jambo ambalo halijawahi kuwepo kwa lengo la kuisaidia jamii. Mfano wa ujasiriamali ni kama vile ugunduzi za engine, kompyuta na n.k.
Sasa sikuhizi unakutana na mama muuza mihogo ya kukaangwa au mchicha anajiita mjasiriamali.
Tanzania, nchi yangu 😅
Hapo umechanganya Innovation na Entrepreneurship. Innovation kwa kiswahili ndo uvumbuzi ambacho ndo umeelezea hapa. Ujasiriamali ni kuanzisha biashara yoyote mpya au kuendeleza iliyopo lakini katika namna ambayo italeta faida. Sifa kuu ya mjasiriamali ni kutoogopa sana hatari zinazoweza kutokea kwenye mchakati wa biashara (Risks). Mjasiriamali sio lazima awe mvumbuzi. Na pia mvumbuzi sio lazima awe mjasiriamali.Tafsiri ya neno ujasiriamali ni kitendo Cha kuumiza akili(brainstorming) na kubuni jambo ambalo halijawahi kuwepo kwa lengo la kuisaidia jamii. Mfano wa ujasiriamali ni kama vile ugunduzi za engine, kompyuta na n.k.
Sasa sikuhizi unakutana na mama muuza mihogo ya kukaangwa au mchicha anajiita mjasiriamali.
Tanzania, nchi yangu 😅
Ujasiriamali haimaanishi hivyo alivyosema mtoa madaUnaongea vitu vizuri lakini, haujaelewa point ya mleta Mada. Neno mjasiriamali linatumika mahali pasipo sahihi
Maana hii inakinzana na Tafsiri ya moja kwa moja ya entrepreneurshipAcha kupotosha,neno ujasiriamali ni muunganiko wa maneno mawili,ujasiri na amali,amali ni kazi,kuuza mihogo ni ujasiri wa Hali ya juu kwa kuwa wengi ukiwemo wewe hudharau,ujasiriamali siyo kubuni Jambo jipya linalosaidia jamii
Bill gates alinunua zile codes kwa lecturer wa chuo,kwa Dola 50k za marekaniHapo umechanganya Innovation na Entrepreneurship. Innovation kwa kiswahili ndo uvumbuzi ambacho ndo umeelezea hapa. Ujasiriamali ni kuanzisha biashara yoyote mpya au kuendeleza iliyopo lakini katika namna ambayo italeta faida. Sifa kuu ya mjasiriamali ni kutoogopa sana hatari zinazoweza kutokea kwenye mchakati wa biashara (Risks). Mjasiriamali sio lazima awe mvumbuzi. Na pia mvumbuzi sio lazima awe mjasiriamal...
Ahsante kwa kunielewa MkuuUnaongea vitu vizuri lakini, haujaelewa point ya mleta Mada. Neno mjasiriamali linatumika mahali pasipo sahihi
Entrepreneurship/entrepreneur ni factor mojawapo ya production ukiacha labour, capital na land, entrepreneur analippwa profit na si salary,ni risk taker,hukuelewa tu vizuriMaana hii inakinzana na Tafsiri ya moja kwa moja ya entrepreneurship
📌📌📌Kila mjasiliamali ni mfanyabiaashara lakini si kila mfanyabiashara ni mjasiliamali
Mfanyabiashara ndogo ndogo. Ili aitwe entrepreneur (mjasiliamali) inabidi ajitofautishe na wauza mihogo wengine kwa kuongeza thamani ya mihogo yake. Utofauti ndio utakaomfanya aitwe mjasiliamaliKwa iyo muuza mihogo tunamuweka kwenye kundi gani sasa?