Wanaouza mihogo wanajiita wajarisiamali

Wanaouza mihogo wanajiita wajarisiamali

Mfanyabiashara ndogo ndogo. Ili aitwe entrepreneur (mjasiliamali) inabidi ajitofautishe na wauza mihogo wengine kwa kuongeza thamani ya mihogo yake. Utofauti ndio utakaomfanya aitwe mjasiliamali
Upo sahihi achana nao hawatokuelewa😀😀
 
Hwbu tuoneshe neno kubuni kwa mujibu wa maana hii ya ujasiriamali kwa kingereza. Inaonekana mmesoma kukariri kujibia mtihani na kuelewa. View attachment 2741489
Mjomba sio kila unachogoogle ni sahihi ata vichaa uwa Wana publish vitu vyao online,soma vitabu sana kuliko google, mjasiriamali ni mtu anayekuja na wazo jipya sokoni kupitia bidhaa au huduma Kwa kuleta kitu kipya kabisa ambacho hakikuwepo au kuboresha( creativity and innovation) mleta mada yupo sahihi wabongo wengi wanachanganya mfanyabiashara na mjasiriamali,wengi ni wafanyabiashara ila wanajiita wajasiriamali,japo mjasiriamali anaweza pia kuwa mfanyabiashara ,wanaouza maduka wengi ni wafanyabiashara na sio wajasiriamali nadhani umenipata
 
Mjomba sio kila unachogoogle ni sahihi ata vichaa uwa Wana publish vitu vyao online,soma vitabu sana kuliko google, mjasiriamali ni mtu anayekuja na wazo jipya sokoni kupitia bidhaa au huduma Kwa kuleta kitu kipya kabisa ambacho hakikuwepo au kuboresha( creativity and innovation) mleta mada yupo sahihi wabongo wengi wanachanganya mfanyabiashara na mjasiriamali,wengi ni wafanyabiashara ila wanajiita wajasiriamali,japo mjasiriamali anaweza pia kuwa mfanyabiashara ,wanaouza maduka wengi ni wafanyabiashara na sio wajasiriamali nadhani umenipata
Hebi tuletee maana hiyo ni kutoka kamusi ipi? Ndiyo maana nikasema mna kisomo cha kukariri
 
Sifa kuu ya ujasiriamali ni value creation. Kama huja create value kwenye unachofanya huo ni uchuuzi tu.
Usikariri kwamba biashara ni uchuuzi tu. Hata Mwamposa, Lissu? Mbowe na wengine wengi ni wajasiriamali.
 
Mjomba sio kila unachogoogle ni sahihi ata vichaa uwa Wana publish vitu vyao online,soma vitabu sana kuliko google, mjasiriamali ni mtu anayekuja na wazo jipya sokoni kupitia bidhaa au huduma Kwa kuleta kitu kipya kabisa ambacho hakikuwepo au kuboresha( creativity and innovation) mleta mada yupo sahihi wabongo wengi wanachanganya mfanyabiashara na mjasiriamali,wengi ni wafanyabiashara ila wanajiita wajasiriamali,japo mjasiriamali anaweza pia kuwa mfanyabiashara ,wanaouza maduka wengi ni wafanyabiashara na sio wajasiriamali nadhani umenipata
Acha kupotosha. Wavumbuzi ni watu wengine. Mvumbuzi anaweza asiwe mjasiriamali.
 
Tafsiri ya neno ujasiriamali ni kitendo Cha kuumiza akili(brainstorming) na kubuni jambo ambalo halijawahi kuwepo kwa lengo la kuisaidia jamii. Mfano wa ujasiriamali ni kama vile ugunduzi za engine, kompyuta na n.k.

Sasa sikuhizi unakutana na mama muuza mihogo ya kukaangwa au mchicha anajiita mjasiriamali.

Tanzania, nchi yangu [emoji28]
Kwani neno moja si linaweza kua na maana zaidi ya moja

Pia muktadha unaweza kulipa neno maana tofauti na maana yake halisi

So kwa mantiki hiyo basi hapa Bongo land mama muuza mihogo/mfanya biashara ya mihogo ama hizi biashara ndogo ndogo hasa zisizo rasmi tunamwita mjasiriamali
 
Tafsiri ya neno ujasiriamali ni kitendo Cha kuumiza akili(brainstorming) na kubuni jambo ambalo halijawahi kuwepo kwa lengo la kuisaidia jamii. Mfano wa ujasiriamali ni kama vile ugunduzi za engine, kompyuta na n.k.

Sasa sikuhizi unakutana na mama muuza mihogo ya kukaangwa au mchicha anajiita mjasiriamali.

Tanzania, nchi yangu 😅
Hilo limekushangaza sana?Vipi kuhusu cherehani mbili kuitwa kiwanda cha mavazi/nguo?
 
Nilichoona humu watu elimu zao na vitu walivyovisoma hawajaelwa chochote wameishia kukremu tu. Ndoyo maana elimu yetu inaonekana ni duni kisa kukariri tu, na kuja kuanzisha mada kama hizi.

Mambo kama haya watu fulani kuitwa kina nani, inatokana na lugha husika inayotumika na muktadha wa hilo neno. Haiangaliwi maana kisomi kwa kibiashara au kiuchumi huko vyuoni. Bali ni kuendana na misamiati na matumizi yake ndani ya lugha ya kiswahili.

Kwa mujibu wa lugha ya kiswahili, Mjasiriamali ni mtu aliyewekeza kwenye biashara ndogondogo. Iwe kaivumbua yeye au hakuvumbua, ilimradi mwekezaji wa biashara hizo huyo ni mjasiriamali tu. Hivyo kina mama wauza mihogo kujiita hivyo ni sahihi, hakuna kosa lolote lile kwa mujibu wa maana hiyo.

Tuje kwenye hiyo maana yenu mnasema mjasiriamali lazima awe amevumbua kitu, kuna Mark Zuckerberg ni mmiliki wa Facebook. Yule anaitwa mjasiriamali wa internet. Kwa msingi wa maana ya kiswahili hajawekeza kwenye biashara ndogondogo hivyo hatuwezi kumwita. Tuje kwenye hiyo maana yenu kutoka lugha mliyosoma na kukariri tu.
Mark kavumbua kipi kipya? Hakukuwa na mitandao kabla ya facebook? Intaneti hiyo haikuwepo kabla hajafikia kufanya kazi hizo? Si mnasema ni lazima awe amevumbua hebu nijibu hili
 
Nionavyo uchangiaji wa watu humu ndani Nadhani BAKITA watuambie UJASILIAMALI ni kitu kingine na si ENTREPRENURSHIP.
 
Back
Top Bottom