Wanaovaa nguo za wapenzi wao huwa ni lugha ya picha kwa 'shoo' wanayoipata ndani

Wanaovaa nguo za wapenzi wao huwa ni lugha ya picha kwa 'shoo' wanayoipata ndani

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Ukiona mdada anavaa nguo za mpenzi wake wa kiume, kama; mashati, tshirt, bukta, boxa, suruali, vest n.k Juwa mmewe/mpenzi wake anamkoleza ipasavyo.

Ni vigumu, mtu kusema habari za mpenzi wake; hasa mambo ya sirini na kuyaweka hadharani. Ila kwa kuangalia vitendo, utagundua uwezo wa mwenza wake katika kumkoleza mwenzie.

Kama kwako haijakutokea, usikate tamaa; ongeza juhudi na maarifa ili mpenzi wako awe anavaa mavazi yako, huku akijimwambafai mtaani.

Utafiti nilishafanya; ila nilipoishia mimi, na wewe unaweza kuendeleza utafiti mwingine.

Wakuu, hakikisha mpenzi wako anavaa nguo zako!
 
Kumkojoza mwanamke sio kazi yako ni kazi yake mwenyewe kama ambavyo mke kukukojoza wewe sio kazi yake ni kazi yako mwenyewe.

Kama mwanamke anaweza kuzaa mwenyewe na kupush mtoto basi nakuambia hawezi kushindwa kukojoa,anaweza kukojoa mwenyewe bila kumtegemea mume kumkojoza.

Nyie wadekezeni tu,hakuna mtu ambaye yuko hapa duniani ili kumfurahisha mwingine,bali tuko hapa duniani ili kuwatumia wengine kujifurahisha sisi,

so mwanamke mtumie mumeo kujipa raha mwenyewe kama ambavyo wanaume wanatumia wanawake kujipa raha wenyewe.

Mwanamke anaweza kupiga punyeto peke yake na akaridhika vizuri tu,sasa kwa nini wakiwa na sisi kwenye tendo wanatutupia hiyo kazi ya kuwaridhisha iwe yetu wakati wakiwa wenyewe pekeyao wanaweza kujiridhisha ?

Ndio maana hatuwezi kuwafikisha kileleni kwa sababu sio kazi yetu,

njia wanazotumia kufika kileleni wakiwa peke yao basi wakiwa na sisi kwenye tendo watumie njia hizo hizo bila kututegemea.

wasione haya kama kusugua kisimi na kidole wajisugue wasione aibu,kama kujichezea machuchu wajichezee wasione aibu,kama kujibinua ili uume uguse G spot wajibinue wasione aibu.

Yakil wakati wa tendo pale kila mmoja awe bize kutafuta haja zake za mwili na sio mmoja kumtupia mzigo mwenzake kwa starehe yake mwenyewe.

Usijipe jukumu lisilokuhusu kaka.
 
Kumkojoza mwwnamke sio kazi yako ni kazi yake mwenyewe kama ambavyo mke kukukojoza wewe sio kazi yake ni kazi yako mwenyewe.

Kama anaweza kuzaa mwenyewe na kuoushi mtoto basi nakuambia hawezi kushindwa kukojoa.

Nyie wadekezeni tu,hakuna mtu ambaye yuko hapa kumfurahisha mwingine,bali tuko hapa kuwatumia wengine kujifurahisha sisi.

Usijipe jukumu lisilokuhusu kaka.
Ikitokea mpenzi wako amevaa mavazi yako, utahisi nini?
 
Kumkojoza mwwnamke sio kazi yako ni kazi yake mwenyewe kama ambavyo mke kukukojoza wewe sio kazi yake ni kazi yako mwenyewe.

Kama anaweza kuzaa mwenyewe na kuoushi mtoto basi nakuambia hawezi kushindwa kukojoa.

Nyie wadekezeni tu,hakuna mtu ambaye yuko hapa kumfurahisha mwingine,bali tuko hapa kuwatumia wengine kujifurahisha sisi.

Usijipe jukumu lisilokuhusu kaka.
Very sure mkuu....akili kubwa sana hii [emoji115]
 
Sio kweli.

Kuna sisi wenye miili mikubwaaa, af madem zetu n GB 1,... Hata umchakate vp, hawez vaa t shirt XXL yangu wakati size yake ni M.

Ko hizo n fikra zako tu....
Ipo siku ataivaa tu, ukimchanganya vizuri
 
Ukiona mdada anavaa nguo za mpenzi wake wa kiume, kama; mashati, tshirt, bukta, boxa, suruali, vest n.k Juwa mmewe/mpenzi wake anamkoleza ipasavyo.

Ni vigumu, mtu kusema habari za mpenzi wake; hasa mambo ya sirini na kuyaweka hadharani. Ila kwa kuangalia vitendo, utagundua uwezo wa mwenza wake katika kumkoleza mwenzie.

Kama kwako haijakutokea, usikate tamaa; ongeza juhudi na maarifa ili mpenzi wako awe anavaa mavazi yako, huku akijimwambafai mtaani.

Utafiti nilishafanya; ila nilipoishia mimi, na wewe unaweza kuendeleza utafiti mwingine.

Wakuu, hakikisha mpenzi wako anavaa nguo zako!
kikwetukwetu hawez kuvaa nguo ya mume wake atakua kanikosea heshma.
 
Yaan avae t shirt inayofanana na kanzu kwake??? Hii haipo mkuu....

Sema hv.... Kwa wale wenye miili inayofanana
ha ha ha ha, inabidi ifanyike kazi ya ziada ili ubongo wao ushindwe kutafsiri ukubwa wa vazi
 
Back
Top Bottom