Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Yale mambo yanachanganya uwezo wa kufikiri mkuukikwetukwetu hawez kuvaa nguo ya mume wake atakua kanikosea heshma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale mambo yanachanganya uwezo wa kufikiri mkuukikwetukwetu hawez kuvaa nguo ya mume wake atakua kanikosea heshma.
Si useme ukweli tu 😂😂😂Basi tu nilikua najisikia raha
Nmekuelewa mkuuha ha ha ha, inabidi ifanyike kazi ya ziada ili ubongo wao ushindwe kutafsiri ukubwa wa vazi
Uwezo wangu ata pikipiki tu siezi nunuaMkuu hio ni mbinu uingie tu kingi uhonge IST
Nitahisi kama vile ambavyo nahisi anapotumia pesa zangu tu.Ikitokea mpenzi wako amevaa mavazi yako, utahisi nini?
Atakuwa anafika kule kunakotakiwaMie napenda kuvaa t-shirt za Mr ila yeye hapendi anasema ninamuachia alama ya maziwa kifuani hua nacheka na sikomi ila hata sijui kwanini navaa.
Tshirt za baby nimevaa Sana tu..tatizo boxer Sasa[emoji23][emoji23]
Kawaida hiyo kutokeaKuna bebe flan ilkuwa inakula sana vest zangu na form six[emoji1487]
Aiseee!!umenifikirisha sanaKumkojoza mwwnamke sio kazi yako ni kazi yake mwenyewe kama ambavyo mke kukukojoza wewe sio kazi yake ni kazi yako mwenyewe.
Kama anaweza kuzaa mwenyewe na kupush mtoto basi nakuambia hawezi kushindwa kukojoa.
Nyie wadekezeni tu,hakuna mtu ambaye yuko hapa kumfurahisha mwingine,bali tuko hapa kuwatumia wengine kujifurahisha sisi.
Mwanamke anaweza kupiga punyeto peke yake na akaridhika vizuri tu,sasa kwa nini wakiwa na sisi wanatupuia hiyo kazi ya kuwaridhisha iwe yetu wakati wakiwa wenyewe pekeyao wanaweza kujiridhisha ?
Ndio maana hatuwezi kuwafikisha kileleni kwa sababu sio kazi yetu,njia wanazotumia kufika kileleni wakiwa peke yao basi pale wakiwa na sisi kwenye tendo watumie njia hizo wasione haya kama kusugua kisimi na kidole wajisugue wasione aibu,kama kujichezea machuchu wajichezee wasione aibu,kama kujibinua ili uume uguse G spot wajibinue wasione aibu.
Yaani kila mmoja awe bize kutafuta haja zake za mwili na sio mmoja kumtupia mzigo mwenzake.
Usijipe jukumu lisilokuhusu kaka.