Wanaovaa nguo za wapenzi wao huwa ni lugha ya picha kwa 'shoo' wanayoipata ndani

Ila huwa anazitanua Sana yale mavictoriatanganyikanyasa yake banaaaaa...

Saturdays huwa za moto Sana after show moja kali .. unasema uende mtaa kidogo unarudi unakuta kavalia T-shirt Pekee alafu anapika cha mchana au anafua ..

Mahaba ya kwenye tiviii kabisa aniani ani ani da ani di
 
kumbe... alikuwa anavaa t-shirts zangu nkawa naona anazingua zinatanuka sababu ya maziwa
Nlifikir mwanamke akivaa nguo zako kwamba una good taste ya kununua nguo[emoji848].
 
Aiseee!!umenifikirisha sana
 
Ni kwel kabxaa....yuko huyo mmoja yaan alikuwa amefanya ndo za kushindia geto ....nahc kuna ka harufu flan iv wanakafurahia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…