Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Inawezekana sielewi wanaposema kula bata wanakuwa wanamaanisha nini haswa.
Je, ni kukutana na marafiki na kupiga soga? Kunywa pombe? Kula nyama choma? Kuogelea ufukweni au bwawa maalumu? Kutembelea vivutio? Kulala? Kuangalia michezo? Mitoko ya kifamilia?
Je, mimi ninayelala badala ya kutoka kama wengine nahesabika kama nakula bata? Au nikiwa 'outing' nikaishia kunywa soda na kupiga soga na washikaji nahesabika kama nakula bata?
Je, kuna 'standards' na 'criteria' za kusema mtu fulani anakula kula bata au la?
Hebu tusemezane, ukisikia mtu anakula bata unaelewa nini? Au unaposema unakula bata huwa unafanya nini?
Hii dhana inanichanganya kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je, ni kukutana na marafiki na kupiga soga? Kunywa pombe? Kula nyama choma? Kuogelea ufukweni au bwawa maalumu? Kutembelea vivutio? Kulala? Kuangalia michezo? Mitoko ya kifamilia?
Je, mimi ninayelala badala ya kutoka kama wengine nahesabika kama nakula bata? Au nikiwa 'outing' nikaishia kunywa soda na kupiga soga na washikaji nahesabika kama nakula bata?
Je, kuna 'standards' na 'criteria' za kusema mtu fulani anakula kula bata au la?
Hebu tusemezane, ukisikia mtu anakula bata unaelewa nini? Au unaposema unakula bata huwa unafanya nini?
Hii dhana inanichanganya kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app