Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
CCM kwa kutwanga ni mwisho wa Matatizo.....
Ndiyo maana Dr. Slaa na Chedema hawakufurukuta Mtwara na Lindi.
Hata Bukoba kwa Wahaya, Chadema hawakufanya vizuri sana.
Kama unafikiri nawaonea CCM kwa kutwanga, hebu ona hii......
![]()
Sasa hapo mbona wanaotwanga ni wababa? mkuu umeielewa mada kweli?