M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Hawa sio wanasaikolojia lakini bali ni watu wenye stress zao walizopata nafasi ya kuzishikia supikaKila mtu sasa hivi ni mwanasaikolojia anaelezea mapenzi na afya ya akili. Ukimuangalia huyo mwanasaikolojia unabaki kushangaa huyu mbona yeye tayari ana stress.
Baadhi ya 'wanasaikolojia' wa mchongo.
1. Mc pilipili,
2. Shishi,
3. Bhoke EATV,
4. Diva thebawse,
5. Mauk,
6. Dani Marandu,
7. Niffer,
Sasa hivi mtu akishakua maarufu tu au ana followers wengi basi anajiona ashakua mwalimu wa maishaKila mtu sasa hivi ni mwanasaikolojia anaelezea mapenzi na afya ya akili. Ukimuangalia huyo mwanasaikolojia unabaki kushangaa huyu mbona yeye tayari ana stress.
Baadhi ya 'wanasaikolojia' wa mchongo.
1. Mc pilipili,
2. Shishi,
3. Bhoke EATV,
4. Diva thebawse,
5. Mauk,
6. Dani Marandu,
7. Niffer,
Insta watu wanajipa tu.Wamesomea wapi saikorojiha?
wakati mwingine ukiwaangalia kimakini na wenyewe ni kama wagonjwa wa kisaikolojiaKila mtu sasa hivi ni mwanasaikolojia anaelezea mapenzi na afya ya akili. Ukimuangalia huyo mwanasaikolojia unabaki kushangaa huyu mbona yeye tayari ana stress.
Baadhi ya 'wanasaikolojia' wa mchongo.
1. Lilian Mwashambwa,
2. Mc pilipili,
3. Shishi,
4. Bhoke EATV,
5. Diva thebawse,
6. Mauk,
7. Dani Marandu,
8. Niffer,
Juma LokoleNa Diva nae ni mwanasaikolojia? π€£
Kama wale wa ITV, nahisi hata wanaowafuatilia watakuwa hamnazoHawa sio wanasaikolojia lakini bali ni watu wenye stress zao walizopata nafasi ya kuzishikia supika
πππππππππ Jf ni hatariKama yule shekhe wa Diva ati ni mshauri wa mahusiano na huku ya kwake yamemshinda... [emoji854][emoji1787][emoji1787][emoji1787]