Wanasayansi wa hypersonic wafungwa 🤣

Wanasayansi wa hypersonic wafungwa 🤣

Mi habari kama hizi huwa nachekeshwa na comments za watu wazima wenye vijukuu kabisa.....yaani wanakimbilia tu vihoja bila hata kutafakari yaani. Yaani kabisa kuna wazee wanaondoka hii hoja yaani?!!!
 
Wafichwa ili kulinda wasiuze tekinologia zidi ya mahasimu
 
Hypersonic haiwezi kudunguliwa kizembe wacha propaganda wewe!!
Waache wajifariji wakati patroit yenyewe ishapigwa na hypasonic moja tu . Wamagharibi kwa propaganda ndio wenyewe wanasema wametungua hypasonic 6 haiingii akilini kwa cku Mrusi atumie kombora nyingi hivyo za hypasonic .zile kombora zinatumika kwa kulenga kitu muhimu ambacho hakitakiwi kokoswa ndio wanatumiaga kinzhal
 
Waache wajifariji wakati patroit yenyewe ishapigwa na hypasonic moja tu . Wamagharibi kwa propaganda ndio wenyewe wanasema wametungua hypasonic 6 haiingii akilini kwa cku Mrusi atumie kombora nyingi hivyo za hypasonic .zile kombora zinatumika kwa kulenga kitu muhimu ambacho hakitakiwi kokoswa ndio wanatumiaga kinzhal
Warusi ndio walikuambia hivyo?
Patriot sio kitu muhimu ambacho hakitakiwi kukoswa??
 
Back
Top Bottom