๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฆ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ฌ๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—›๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ผ๐—ธ๐˜€๐—ถ๐—ท๐—ฒ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ

๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฆ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ฌ๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—›๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ผ๐—ธ๐˜€๐—ถ๐—ท๐—ฒ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ

๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฆ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ฌ๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—›๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ผ๐—ธ๐˜€๐—ถ๐—ท๐—ฒ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ

View attachment 3243149

Kuna utafiti umefanywa na chuo kikuu Cha Toho wakishirikiana na Wanasayansi toka Nasa wametabiri viwango vya Hewa ya oksijeni inayotumiwa na mwanadamu inashuka kwa kiwango kikubwa sana hivyo tunaelekea Mwisho wa Sayari ya Dunia kufikia Mwisho.

Wamesema mimea yote inayotegemea Hewa ya oksijeni itapopotea ndani ya miaka 10,000 na maisha yanayotegemea Hewa ya Oksijeni yatafikia Mwisho na kuacha Sayari ya Dunia kutawaliwa na wadudu.

View attachment 3243150

Nasa imesema viwango vya Hewa ya Oksijeni vimeshuka takribani miaka bilioni 1.08 kutokana na Joto kupanda na kuwa Kali Kila siku pamoja na kushuka kwa viwango vya CO2.

View attachment 3243151

Utafiti huu unazidi kuweka mpango na changamoto ya watu kuweza kutafuta maisha na uhai kwenye Sayari zingine za mbali kwani Hewa ya oksijeni na Ozoni huenda visiwe viashiria vya kuaminika vya maisha Kila wakati.


Wanasayansi wametoa maoni ya juu ya wanaanga mbalimbali waendelee kuchunguza Sayari zingine za kwenda kuishi wanadamu.
Bora iishe tu CCM wanajisahau sn.
 
Dunia inakaribishia mwisho wake, ila wanasayansi wanajitajidi kuwachanganya watu wachelewe kujua mwisho wa Dunia ninkurusi Kwa YESU KRISTO .


tupo miaka ya mwishoni kabisa ya kurudi Kwa YESU Kwa kuzingatia kalenda ya YESU
 
Wasenge,walijiona wanajua sasa wanageuka wachawi.Tutaelewana tu.
 
Wanasayansi hadi leo hawajui origin ya uhai wa binadamu au lini maisha ya binadamu yalianza duniani, kama hawajui hadi leo lini Uhai wa binadamu ulianza duniani, wanasayansi hawawezi jua lini maisha ya mwanadamu yatafikia ukomo duniani..!!
Hakika waache mbwembwe.
 
Kwa hiyo wameona chanjo hazilipi wameamua kutuuzia oxygen sio ?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Sahizi tupo mwaka wa 2025 tangia YESU azaliwe sasa hiyo elf 10,000 MUNGU atakuwa alishaigeza Dunia siku nyingi
๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฆ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ฌ๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—›๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ผ๐—ธ๐˜€๐—ถ๐—ท๐—ฒ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ

View attachment 3243149

Kuna utafiti umefanywa na chuo kikuu Cha Toho wakishirikiana na Wanasayansi toka Nasa wametabiri viwango vya Hewa ya oksijeni inayotumiwa na mwanadamu inashuka kwa kiwango kikubwa sana hivyo tunaelekea Mwisho wa Sayari ya Dunia kufikia Mwisho.

Wamesema mimea yote inayotegemea Hewa ya oksijeni itapopotea ndani ya miaka 10,000 na maisha yanayotegemea Hewa ya Oksijeni yatafikia Mwisho na kuacha Sayari ya Dunia kutawaliwa na wadudu.

View attachment 3243150

Nasa imesema viwango vya Hewa ya Oksijeni vimeshuka takribani miaka bilioni 1.08 kutokana na Joto kupanda na kuwa Kali Kila siku pamoja na kushuka kwa viwango vya CO2.

View attachment 3243151

Utafiti huu unazidi kuweka mpango na changamoto ya watu kuweza kutafuta maisha na uhai kwenye Sayari zingine za mbali kwani Hewa ya oksijeni na Ozoni huenda visiwe viashiria vya kuaminika vya maisha Kila wakati.


Wanasayansi wametoa maoni ya juu ya wanaanga mbalimbali waendelee kuchunguza Sayari zingine za kwenda kuishi wanadamu.
 
Sema huu ni uhuni tu hamna lolote, kila mmoja alitabili mwisho wa dunia kwa fikra zake
 
Kuna mambwa wanatamani kuwalipisha oxygen watu

Ova
 
๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฆ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ฌ๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—›๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ผ๐—ธ๐˜€๐—ถ๐—ท๐—ฒ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ

View attachment 3243149

Kuna utafiti umefanywa na chuo kikuu Cha Toho wakishirikiana na Wanasayansi toka Nasa wametabiri viwango vya Hewa ya oksijeni inayotumiwa na mwanadamu inashuka kwa kiwango kikubwa sana hivyo tunaelekea Mwisho wa Sayari ya Dunia kufikia Mwisho.

Wamesema mimea yote inayotegemea Hewa ya oksijeni itapopotea ndani ya miaka 10,000 na maisha yanayotegemea Hewa ya Oksijeni yatafikia Mwisho na kuacha Sayari ya Dunia kutawaliwa na wadudu.

View attachment 3243150

Nasa imesema viwango vya Hewa ya Oksijeni vimeshuka takribani miaka bilioni 1.08 kutokana na Joto kupanda na kuwa Kali Kila siku pamoja na kushuka kwa viwango vya CO2.

View attachment 3243151

Utafiti huu unazidi kuweka mpango na changamoto ya watu kuweza kutafuta maisha na uhai kwenye Sayari zingine za mbali kwani Hewa ya oksijeni na Ozoni huenda visiwe viashiria vya kuaminika vya maisha Kila wakati.


Wanasayansi wametoa maoni ya juu ya wanaanga mbalimbali waendelee kuchunguza Sayari zingine za kwenda kuishi wanadamu.
Dah! Afadhali! Kumbe ni baada ya miaka 10,000?
 
Uongoo
 

Attachments

  • Screenshot_20250220_232215_Chrome.jpg
    Screenshot_20250220_232215_Chrome.jpg
    121.5 KB · Views: 2
Back
Top Bottom