FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mimea inazalisha nini?Matunda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimea inazalisha nini?Matunda
Bora iishe tu CCM wanajisahau sn.๐ช๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐ฎ๐๐ฎ๐ป๐๐ถ ๐๐ฎ๐บ๐ฒ๐๐ฎ๐ฏ๐ถ๐ฟ๐ถ ๐ธ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฆ๐ฎ๐๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐ฌ๐ฒ๐๐ ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ผ๐ธ๐๐ถ๐ท๐ฒ๐ป๐ถ ๐ถ๐ป๐ฎ๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ฏ๐ถ๐ฎ ๐ธ๐๐ถ๐๐ต๐ฎ
View attachment 3243149
Kuna utafiti umefanywa na chuo kikuu Cha Toho wakishirikiana na Wanasayansi toka Nasa wametabiri viwango vya Hewa ya oksijeni inayotumiwa na mwanadamu inashuka kwa kiwango kikubwa sana hivyo tunaelekea Mwisho wa Sayari ya Dunia kufikia Mwisho.
Wamesema mimea yote inayotegemea Hewa ya oksijeni itapopotea ndani ya miaka 10,000 na maisha yanayotegemea Hewa ya Oksijeni yatafikia Mwisho na kuacha Sayari ya Dunia kutawaliwa na wadudu.
View attachment 3243150
Nasa imesema viwango vya Hewa ya Oksijeni vimeshuka takribani miaka bilioni 1.08 kutokana na Joto kupanda na kuwa Kali Kila siku pamoja na kushuka kwa viwango vya CO2.
View attachment 3243151
Utafiti huu unazidi kuweka mpango na changamoto ya watu kuweza kutafuta maisha na uhai kwenye Sayari zingine za mbali kwani Hewa ya oksijeni na Ozoni huenda visiwe viashiria vya kuaminika vya maisha Kila wakati.
Wanasayansi wametoa maoni ya juu ya wanaanga mbalimbali waendelee kuchunguza Sayari zingine za kwenda kuishi wanadamu.
Matunda,mboga,kuni,dawa za asili,mbao za kujengea n.kMimea inazalisha nini?
Tafuteni makazi mapyaKwqhio tuhame au
Kwa Elon MuskTafuteni makazi mapya
Hakika waache mbwembwe.Wanasayansi hadi leo hawajui origin ya uhai wa binadamu au lini maisha ya binadamu yalianza duniani, kama hawajui hadi leo lini Uhai wa binadamu ulianza duniani, wanasayansi hawawezi jua lini maisha ya mwanadamu yatafikia ukomo duniani..!!
Ila sio Oxygen, sivyo?Matunda,mboga,kuni,dawa za asili,mbao za kujengea n.k
๐ช๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐ฎ๐๐ฎ๐ป๐๐ถ ๐๐ฎ๐บ๐ฒ๐๐ฎ๐ฏ๐ถ๐ฟ๐ถ ๐ธ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฆ๐ฎ๐๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐ฌ๐ฒ๐๐ ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ผ๐ธ๐๐ถ๐ท๐ฒ๐ป๐ถ ๐ถ๐ป๐ฎ๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ฏ๐ถ๐ฎ ๐ธ๐๐ถ๐๐ต๐ฎ
View attachment 3243149
Kuna utafiti umefanywa na chuo kikuu Cha Toho wakishirikiana na Wanasayansi toka Nasa wametabiri viwango vya Hewa ya oksijeni inayotumiwa na mwanadamu inashuka kwa kiwango kikubwa sana hivyo tunaelekea Mwisho wa Sayari ya Dunia kufikia Mwisho.
Wamesema mimea yote inayotegemea Hewa ya oksijeni itapopotea ndani ya miaka 10,000 na maisha yanayotegemea Hewa ya Oksijeni yatafikia Mwisho na kuacha Sayari ya Dunia kutawaliwa na wadudu.
View attachment 3243150
Nasa imesema viwango vya Hewa ya Oksijeni vimeshuka takribani miaka bilioni 1.08 kutokana na Joto kupanda na kuwa Kali Kila siku pamoja na kushuka kwa viwango vya CO2.
View attachment 3243151
Utafiti huu unazidi kuweka mpango na changamoto ya watu kuweza kutafuta maisha na uhai kwenye Sayari zingine za mbali kwani Hewa ya oksijeni na Ozoni huenda visiwe viashiria vya kuaminika vya maisha Kila wakati.
Wanasayansi wametoa maoni ya juu ya wanaanga mbalimbali waendelee kuchunguza Sayari zingine za kwenda kuishi wanadamu.
Dah! Afadhali! Kumbe ni baada ya miaka 10,000?๐ช๐ฎ๐ป๐ฎ๐๐ฎ๐๐ฎ๐ป๐๐ถ ๐๐ฎ๐บ๐ฒ๐๐ฎ๐ฏ๐ถ๐ฟ๐ถ ๐ธ๐๐ฒ๐ป๐๐ฒ ๐ฆ๐ฎ๐๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐ฌ๐ฒ๐๐ ๐๐ฒ๐๐ฎ ๐๐ฎ ๐ผ๐ธ๐๐ถ๐ท๐ฒ๐ป๐ถ ๐ถ๐ป๐ฎ๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ฏ๐ถ๐ฎ ๐ธ๐๐ถ๐๐ต๐ฎ
View attachment 3243149
Kuna utafiti umefanywa na chuo kikuu Cha Toho wakishirikiana na Wanasayansi toka Nasa wametabiri viwango vya Hewa ya oksijeni inayotumiwa na mwanadamu inashuka kwa kiwango kikubwa sana hivyo tunaelekea Mwisho wa Sayari ya Dunia kufikia Mwisho.
Wamesema mimea yote inayotegemea Hewa ya oksijeni itapopotea ndani ya miaka 10,000 na maisha yanayotegemea Hewa ya Oksijeni yatafikia Mwisho na kuacha Sayari ya Dunia kutawaliwa na wadudu.
View attachment 3243150
Nasa imesema viwango vya Hewa ya Oksijeni vimeshuka takribani miaka bilioni 1.08 kutokana na Joto kupanda na kuwa Kali Kila siku pamoja na kushuka kwa viwango vya CO2.
View attachment 3243151
Utafiti huu unazidi kuweka mpango na changamoto ya watu kuweza kutafuta maisha na uhai kwenye Sayari zingine za mbali kwani Hewa ya oksijeni na Ozoni huenda visiwe viashiria vya kuaminika vya maisha Kila wakati.
Wanasayansi wametoa maoni ya juu ya wanaanga mbalimbali waendelee kuchunguza Sayari zingine za kwenda kuishi wanadamu.