๐—ช๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ป๐˜€๐—ถ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜๐—ฎ๐—ฏ๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐—ฆ๐—ฎ๐˜†๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ฌ๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—›๐—ฒ๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ผ๐—ธ๐˜€๐—ถ๐—ท๐—ฒ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ฎ

Bora iishe tu CCM wanajisahau sn.
 
Dunia inakaribishia mwisho wake, ila wanasayansi wanajitajidi kuwachanganya watu wachelewe kujua mwisho wa Dunia ninkurusi Kwa YESU KRISTO .


tupo miaka ya mwishoni kabisa ya kurudi Kwa YESU Kwa kuzingatia kalenda ya YESU
 
Wasenge,walijiona wanajua sasa wanageuka wachawi.Tutaelewana tu.
 
Wanasayansi hadi leo hawajui origin ya uhai wa binadamu au lini maisha ya binadamu yalianza duniani, kama hawajui hadi leo lini Uhai wa binadamu ulianza duniani, wanasayansi hawawezi jua lini maisha ya mwanadamu yatafikia ukomo duniani..!!
Hakika waache mbwembwe.
 
Kwa hiyo wameona chanjo hazilipi wameamua kutuuzia oxygen sio ?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Sahizi tupo mwaka wa 2025 tangia YESU azaliwe sasa hiyo elf 10,000 MUNGU atakuwa alishaigeza Dunia siku nyingi
 
Sema huu ni uhuni tu hamna lolote, kila mmoja alitabili mwisho wa dunia kwa fikra zake
 
Kuna mambwa wanatamani kuwalipisha oxygen watu

Ova
 
Dah! Afadhali! Kumbe ni baada ya miaka 10,000?
 
Uongoo
 

Attachments

  • Screenshot_20250220_232215_Chrome.jpg
    121.5 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ