Wanasayansi wasisitiza umuhimu wa Bikra (Virgnity)

Huwezi elewa kwa kujua tu bios ya Advance kuna mengi hujui...Source ipi kasome Microchimerism ndo source
 
Makahaba wanao jiuza wanatumia kondomu
 
namba 2 anaweza kubadilika baada ya kuingia ndoani ikiwa mme atakua sio 'msumbufu'...... (nime-experience hili)
 
Somo zuri sana mkuu, ila sasa tutawatoa wapi hao ma BK? Kwa kifupi hakuna mwanamke bikra katika miaka 18 nakuendelea
Kizuri lazima ukitolee jasho..Mane aliamua kusomesha na kuwekeza kwa Binti muhimu asipoteze BIKRA na wewe unaweza kwenda Vijijini kusaka
 
Huwezi elewa kwa kujua tu bios ya Advance kuna mengi hujui...Source ipi kasome Microchimerism ndo source
Pangua hoja kwa hoja mkuu , acha kuingiza fallacy kwanza concept ya michrochimerism yenyewe ulivyoielezea ni tofauti na jinsi ilivyo sina muda wa kuielezea kiundani ila haihusiani na zinaa kama ulivyoandika hapo juu.

Michrochimerism ni kitendo cha cell au dna za mtoto kubakia kwa mama hata baada ya mimba na si cell za baba kubaki kwa mama , sijajua kama ulijua hili ulipokuwa unaandika.
 
Kuhusu Sperm kuwa Detained kwenye Abdomen during Swallowing Hapo hayuko sawa..hata Nikiwa Ndotoni Nitampinga..

Ila kuhusu Microchimerism Na sexual Intercouse Plus Pregnancy Issues Yuko Sahihi kwa 100%
Nitamtetea kwa hilo maybe kama unahoja tuanze kuichambua kisayansi na kwa Research na study mbalimbali..

Karibu..
CC: KENGE 01
 
Sema kwa jinsi wewe dada unavyojitunza nina uhakika utakua bado bikira
 
Safi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…