Wanasayansi wasisitiza umuhimu wa Bikra (Virgnity)

Wanasayansi wasisitiza umuhimu wa Bikra (Virgnity)

aisee kwamba sperm zikimezwa huwa zinabaki zina retain genetic memory na kuji attach kwa mwanamke? Ingekuwa umesoma digestion vizuri ungejua kwamba tumbo la chakula linazalisha gastric juice ambayo ndani yake kuna enzymes kama pepsinogen na prorenin ambazo awali huwa inactive ili zisianze kumeng'enya kuta za tumbo la chakula.

Sasa kutokana na uwepo wa HCL (hydrochloric acid kwenye gastric juice) hizo enzymes zinabadilishwa kwenda kwenye active form zake ambazo ni pespsin na renin hiyo pepsin ndo huwa inaivunja vunja protein kuipeleka kwenye amino acids .

Sasa hiyo information huwa ina survive vipi kama BUILDING STRUCTURE IMEVUNJWA VUNJWA COMPLETELY? SCIENCE YA WAPI HIYO? MBONA HAUJAWEKA SOURCE ?
Huwezi elewa kwa kujua tu bios ya Advance kuna mengi hujui...Source ipi kasome Microchimerism ndo source
 
Anaandika Kenge

Tamaduni za wazee wa zamani waliishi kwenye misingi ya kuoa mabikra.Ilikua ni aibu kubwa sana kama ikibainika bint wa Mzee flani sio Bikra.Au Bwana fulani kaoa binti ambae sio bikra..Mapinduzi ya utandawazi yanafanya mambo haya yaonekane ni ya kizamani na
View attachment 2871001
Wanasayansi wameeleza pia kupitia dhana hii kwamba MALAYA na MAKAHABA wanatabia za kufanana Duniani kote kama vile
Kukosa mshipa wa aibu.
Kukosa mshipa wa uoga.
Kukosa mshipa wa huruma
kukosa mshipa wa adabu

Hawachelewi kupigana wala kukutukana wala kukupiga kisu cha tumbo kwao sio shida..Hii yote ni kwanini?

Ni kwasababu wamelala na wanaume wengi sana wenye Tabia tofauti majambazi,Makatili,Vibaka,wezi hivyo DNA za wanaume hao wote zimechanganya na kuingia kwenye damu(Bloodstream) ya mwanamke na kufuma Tabia mbalimbali.
Makahaba wanao jiuza wanatumia kondomu
 
Mi nadhani kuna bikira nyingi sana
1. Ya kibaolojia ambayo nadhani ndio unaizungumzia
2. Yakisaikolojia ambayo mi nadhani ni muhumu sana.

Unaweza kukuta bikra ya kibaolojia kwa mwanamke lakini wewe sio first live wake,
Mwanamke hajawai fanya lakini amekua na mahusiano kibao kuchwa kisha vurugwa, kama hujakutana nae huwezi kunielewa
namba 2 anaweza kubadilika baada ya kuingia ndoani ikiwa mme atakua sio 'msumbufu'...... (nime-experience hili)
 
Somo zuri sana mkuu, ila sasa tutawatoa wapi hao ma BK? Kwa kifupi hakuna mwanamke bikra katika miaka 18 nakuendelea
Kizuri lazima ukitolee jasho..Mane aliamua kusomesha na kuwekeza kwa Binti muhimu asipoteze BIKRA na wewe unaweza kwenda Vijijini kusaka
 
Huwezi elewa kwa kujua tu bios ya Advance kuna mengi hujui...Source ipi kasome Microchimerism ndo source
Pangua hoja kwa hoja mkuu , acha kuingiza fallacy kwanza concept ya michrochimerism yenyewe ulivyoielezea ni tofauti na jinsi ilivyo sina muda wa kuielezea kiundani ila haihusiani na zinaa kama ulivyoandika hapo juu.

Michrochimerism ni kitendo cha cell au dna za mtoto kubakia kwa mama hata baada ya mimba na si cell za baba kubaki kwa mama , sijajua kama ulijua hili ulipokuwa unaandika.
 
Pangua hoja kwa hoja mkuu , acha kuingiza fallacy kwanza concept ya michrochimerism yenyewe ulivyoielezea ni tofauti na jinsi ilivyo sina muda wa kuielezea kiundani ila haihusiani na zinaa kama ulivyoandika hapo juu.

Michrochimerism ni kitendo cha cell au dna za mtoto kubakia kwa mama hata baada ya mimba na si cell za baba kubaki kwa mama , sijajua kama ulijua hili ulipokuwa unaandika.
Kuhusu Sperm kuwa Detained kwenye Abdomen during Swallowing Hapo hayuko sawa..hata Nikiwa Ndotoni Nitampinga..

Ila kuhusu Microchimerism Na sexual Intercouse Plus Pregnancy Issues Yuko Sahihi kwa 100%
Nitamtetea kwa hilo maybe kama unahoja tuanze kuichambua kisayansi na kwa Research na study mbalimbali..

Karibu..
CC: KENGE 01
 
Tuchangie nini wakati nyie ndo mpo busy kuziondoa hizo bikra kabla ya wakati.
Pambaneni na hali yenu..bikra hazipo na zinazidi kupotea. Mnataka kumlaumu nani?

Umefanya nijibu kabla sijasoma uzi wenyewe[emoji3]

Note: sijajibu kwa jazba. Nitarudi baadae kusoma uzi
Sema kwa jinsi wewe dada unavyojitunza nina uhakika utakua bado bikira
 
Tuchangie nini wakati nyie ndo mpo busy kuziondoa hizo bikra kabla ya wakati.
Pambaneni na hali yenu..bikra hazipo na zinazidi kupotea. Mnataka kumlaumu nani?

Umefanya nijibu kabla sijasoma uzi wenyewe[emoji3]

Note: sijajibu kwa jazba. Nitarudi baadae kusoma uzi
Safi
 
Back
Top Bottom