Wanasema natembea naye!

Tatizo ni ku care sana vya watu kuliko wenyenavyo....
 
Kwani kutembea naye kuna shida gani? Mbona huwa naona watu wengi wanaongozana na wake za watu?
<br />
<br />
Du hii ni kweli mkuu kutembea na mtu si kosa.
 
una ignore maana ukweli unaujua wewe binadamu wameumbwa kuongea mwisho wa siku wataacha wenyewe
FL, hii ya ku ignore huwa siipendi sana ... hasa nikikumbuka usemi wa marehemu aliuwawa kimakosa tunaomba radhi kwa hilo.. mi namshauri astay away na vitu vya watu
 
Before proven, wanaweza mchuna ngozi kijana....
<br />
<br />
Yaani mtu anakuhisi unatembea na mke wa mtu wakati ushahidi hana just let them continue to talk
 
lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja
 
sina imani majirani wataongelea kitu amabacho hakipo ukweli hujitenga bna uongo hata iweje zaidi ya watu na vijana wanaona jinsi gani unavyo fanya mambo yako kwa niwewe tu mitaani kwa nini wasiongelee wengine?
 
sina imani majirani wataongelea kitu amabacho hakipo ukweli hujitenga bna uongo hata iweje zaidi ya watu na vijana wanaona jinsi gani unavyo fanya mambo yako kwa niwewe tu mitaani kwa nini wasiongelee wengine?

Inaonekana hujawahi kuzushiwa jambo wewe...............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…