Wanasheria(Baadhi) mnadhalilisha taaluma ya sheria

Wanasheria(Baadhi) mnadhalilisha taaluma ya sheria

kenyamanyori

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2014
Posts
734
Reaction score
326
Leo asubuhi katika kipindi cha tuongee asubuhi Star Tv, nimemsikiliza mwanasheria mmoja akitetea serikali 2 nchi 2 Tanzania. Kwa kweli huyu jamaa anatiashaka amepata wapi taaluma ya sheria alikuwa anaongea kichefuchefu tupu. Sio kwa vile mimi ni muumini wa serikali 3 katika kuondoa kero za muungano lakini jamaa hajiwezi asilani na nikigundua kuwa huyu jamaa ni wakili hata bure siwezi kukubali uwakilishi wake. wenzake mumuelimishe.

 
hahahah ni kama alikuwa anafanya marejeo ya Hotuba ya Kikwete, jamaa hakuweza kufanya uchambuzi wa hoja zenye mantiki
 
Wanasheria nao ni watu tu kama walivyo watu wengine. Wao si breed tofauti na wala siyo ma-genius.

Hivyo, wapo walio na ujuzi na ufahamu wa hali ya juu, wapo wale wa kawaida tu, wapo wale wazembe, wapo wadanganyifu, na kadhalika.
 
Wewe ulimsikia mamluki wa ccm tu!
Upuuzi wa kutetea serikali mbili hata Siviji juzi kati hapo aliskika akitetea!
Kusema kweli wanadhalilisha taaluma!
 
Wanasheria nao ni watu tu kama walivyo watu wengine. Wao si breed tofauti na wala siyo ma-genius.

Hivyo, wapo walio na ujuzi na ufahamu wa hali ya juu, wapo wale wa kawaida tu, wapo wale wazembe, wapo wadanganyifu, na kadhalika.

nimependa sana hii,wape ukweli manake huwa wanajiona miungu watu!
 
kwani wewe unataka mawazo yako yafanane na yako?

Leo asubuhi katika kipindi cha tuongee asubuhi Star Tv, nimemsikiliza mwanasheria mmoja akitetea serikali 2 nchi 2 Tanzania. Kwa kweli huyu jamaa anatiashaka amepata wapi taaluma ya sheria alikuwa anaongea kichefuchefu tupu. Sio kwa vile mimi ni muumini wa serikali 3 katika kuondoa kero za muungano lakini jamaa hajiwezi asilani na nikigundua kuwa huyu jamaa ni wakili hata bure siwezi kukubali uwakilishi wake. wenzake mumuelimishe.
 
Leo asubuhi katika kipindi cha tuongee asubuhi Star Tv, nimemsikiliza mwanasheria mmoja akitetea serikali 2 nchi 2 Tanzania. Kwa kweli huyu jamaa anatiashaka amepata wapi taaluma ya sheria alikuwa anaongea kichefuchefu tupu. Sio kwa vile mimi ni muumini wa serikali 3 katika kuondoa kero za muungano lakini jamaa hajiwezi asilani na nikigundua kuwa huyu jamaa ni wakili hata bure siwezi kukubali uwakilishi wake. wenzake mumuelimishe.

Utitili wa universities
 
Wanasheria ni kama waandishi wa habari wote wanaponzwa na ''bahasha za kaki' huoni mikataba yote ya madini,ya Tanesco,IPTL wahusika wakuu utakuta ni wanasheria huku wakipigiwa chapuo na waandishi wa habari,hata huko kwenye bunge la katiba wanasheria ndio wanatupeleka ndiko siko,akina m-ma-nda ,mzee wa vijisenti ,prof balozi,ndio walioshika usukani
 
Mimi sijamsikia huyo mwanasheria ila naona kama unasukumwa na mtazamo wako pia...
 
Leo asubuhi katika kipindi cha tuongee asubuhi Star Tv, nimemsikiliza mwanasheria mmoja akitetea serikali 2 nchi 2 Tanzania. Kwa kweli huyu jamaa anatiashaka amepata wapi taaluma ya sheria alikuwa anaongea kichefuchefu tupu. Sio kwa vile mimi ni muumini wa serikali 3 katika kuondoa kero za muungano lakini jamaa hajiwezi asilani na nikigundua kuwa huyu jamaa ni wakili hata bure siwezi kukubali uwakilishi wake. wenzake mumuelimishe.


Katiba ya jamhuri ya muungano inasema ,"kila mtu anao uhuru wa kutoa maoni na kueleza fikra zake" , na kila mtu anayo haki ya kusikilizwa
 
Back
Top Bottom