Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Ukifuatilia Post Za Watu Wengi Waliouliza Maswali Utakuta Hazina Majibu Kabisa Na Hata Zile Zenye Majibu Hazikujibiwa Kitaaluma Ya Kisheria,yaani Zimejibiwa Kama Na Mtu Tu Asiyesomea Sheria Kabisa!Mfano Unakuta Post Imejibiwa Lakini Mjibu Swali Ambae Tunategemea Ni Mwanasheria Hajibu Kwa Kutaja Na Kunukuu Vifungu Vya Sheria Vinavyohusiana Na Swali, Anajibu Kama Siyo Mwanasheria.
Sasa Hapo Utatofautishaje Jibu Hili Ni La Mwanasheria Na Hili Siyo La Mwanasheria Ikiwa Majibu Yote Hayana Nukuu Ya Vifungu Vya Sheria? Sasa Hapo Sisi Ambao Si Wanasheria Tutajuaje Hicho Kifungu Kinapatikana Wapi Ili Nasisi Tuvitumie Kujilinda Navyo?
Wanasheria Badilikeni Na Mjibu Maswali, fikiria Post Inakaa Wiki Nzima Haina Majibu? Tuseme Hakuna Wanasheria Kwenye Hili Jukwaa? Basi Bora Lisiwepo Kabisa.
Nawasilisha.
Sasa Hapo Utatofautishaje Jibu Hili Ni La Mwanasheria Na Hili Siyo La Mwanasheria Ikiwa Majibu Yote Hayana Nukuu Ya Vifungu Vya Sheria? Sasa Hapo Sisi Ambao Si Wanasheria Tutajuaje Hicho Kifungu Kinapatikana Wapi Ili Nasisi Tuvitumie Kujilinda Navyo?
Wanasheria Badilikeni Na Mjibu Maswali, fikiria Post Inakaa Wiki Nzima Haina Majibu? Tuseme Hakuna Wanasheria Kwenye Hili Jukwaa? Basi Bora Lisiwepo Kabisa.
Nawasilisha.