Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Jamhuri ya welediMazingaombwe...Nyaraaka tokeaa inatokea!!!.
Ndiko tulikofikia kama Banana Republik.
No wonder yule Mzee alikua ananunua ndege na kufanya maamuzi bila kufuata utaratibu kwakua alikua anajua kila kitu kipo chini yake..DPP na Mahakama wote waziri wao ni mmoja!
Kwa sasa ni Prof Kabudi.
Mwenyekiti wa CCM ndio mkuu wa kila kitu.No wonder yule Mzee alikua ananunua ndege na kufanya maamuzi bila kufuata utaratibu kwakua alikua anajua kila kitu kipo chini yake..
Mahakama haiko huru.
Naona unakiri hatuna Bunge huru wala Mahakama huru.Mwenyekiti wa CCM ndio mkuu wa kila kitu.
Anapitisha Spika na Jaji mkuu.
Na wakuu wa vyombo vya dola.
Kama kwenye chafuzi wanaweza kufanya walivyofanya, je huku ambako ni uamuzi wa ntu mmoja🤸.Jaji hapa atatoa uamuzi kwa kutumia opinion zake na ataibeba Jamuhuri.
Unazungumzia uhuru gani?Naona unakiri hatuna Bunge huru wala Mahakama huru.
John huyo mnaa Hana lolote, rejea picha ya kubadilika rangi ya Mshana🏃.Naona unakiri hatuna Bunge huru wala Mahakama huru.
Wa kunywa mbege na mtori Bwashee.Unazungumzia uhuru gani?
Hapa Alisha kuruka mapeema asubuhi😄.Unazungumzia uhuru gani?
Unalalama, unashauri au unasikitika.?CHADEMA bhana,wanasema wanajua kinachoendelea halafu wanaendelea kuhudhuria kesi,hadi Mbowe atakapofungwa ndiyo watakoma kuhudhuria....