Wanasheria, hivi kweli hapa kuna kesi?

Wanasheria, hivi kweli hapa kuna kesi?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Wanasheria tunaomba mtusaidie juu ya hili jambo.

Sioni kabisa logic ya Mbowe kuendelea kujitetea mbele ya hii mahakama.

Someni hiki:

Screenshot_20211110-173217_Twitter.jpg


Screenshot_20211110-173230_Twitter.jpg
 
CHADEMA jitoeni msipoteze muda kwenda mahakamani.

Hadi hapo Mbowe kashahukumiwa miaka kadhaa.

Na huyo Jaji akimfunga Mbowe anapanda cheo. Hawezi kuchezea fursa adimu na adhimu kama hiyo.

Africa=Bara la Giza
Huku ndio kuna mlango wa kuendea kuzimu.
 
CHADEMA bhana,wanasema wanajua kinachoendelea halafu wanaendelea kuhudhuria kesi,hadi Mbowe atakapofungwa ndiyo watakoma kuhudhuria.

Nakumbuka na mambo ya uchaguzi,huwa wanalalamika kua tume siyo huru na bado wanashiriki uchaguzi huku matokeo wanayajua, sijui huwa wanawaza nini? Haya bhana ndiyo wapinzani hao.
 
Back
Top Bottom