Wanasheria, huyu hapa kosa lake ni lipi na adhabu yake inaweza kua nini?

Wanasheria, huyu hapa kosa lake ni lipi na adhabu yake inaweza kua nini?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Habari.

Wanasheria, naomba kujua mtu anaetuhumiwa kwa kosa kama hili adhabu yake ni nini na kosa lake hasa ni lipi.

Kuna mdogo wangu aliomba kazi mahala, akaombwa kupeleka vyeti baada ya usaili, matokeo yametoka Baraza kua cheti chake kimoja ameghushi.

Lakini ukiangalia matokeo yake mtandaoni na taarifa zake ziko sahihi na cheti chake hicho ila Baraza wanasema ameghushi.

Kwa taarifa imeonekana kwamba kuna watu hua wanadurufu vyeti(hivyo cha kwake kinaonekana kudurufiwa ila taarifa zake zote ni sahihi). Yeye anadai hajui chochote kuhusu hilo. Yeye halisi ndio alisoma hiyo shule na matokeo yake ni mazuri zaidi.

Naomba kujua huyu kosa lake ni lipi hapo, je kama mtu alidurufu cheti chake na akambadilishia akampa copy na bila kujua akapeleka copy baraza, kosa lake kisheria ni lipi na adhabu yake itakua ipi?

Je mahakamani hutumika logic au mtu tu anahukumiwa kwa kosa lolote hata kama limesababishwa na mtu mwingine?

Ahsante.
 
Habari.

Wanasheria, naomba kujua mtu anaetuhumiwa kwa kosa kama hili adhabu yake ni nini na kosa lake hasa ni lipi.

Kuna mdogo wangu aliomba kazi mahala, akaombwa kupeleka vyeti baada ya usaili, matokeo yametoka Baraza kua cheti chake kimoja ameghushi.

Lakini ukiangalia matokeo yake mtandaoni na taarifa zake ziko sahihi na cheti chake hicho ila Baraza wanasema ameghushi.

Kwa taarifa imeonekana kwamba kuna watu hua wanadurufu vyeti(hivyo cha kwake kinaonekana kudurufiwa ila taarifa zake zote ni sahihi). Yeye anadai hajui chochote kuhusu hilo. Yeye halisi ndio alisoma hiyo shule na matokeo yake ni mazuri zaidi.

Naomba kujua huyu kosa lake ni lipi hapo, je kama mtu alidurufu cheti chake na akambadilishia akampa copy na bila kujua akapeleka copy baraza, kosa lake kisheria ni lipi na adhabu yake itakua ipi?

Je mahakamani hutumika logic au mtu tu anahukumiwa kwa kosa lolote hata kama limesababishwa na mtu mwingine?

Ahsante.
Si kweli. Vyeti havitolewi kwa mtu yeyote isipokuwa wewe mwenyewe mwanafunzi. Kuna mahali alitoa cheti chake kikachezewa.
 
Nimepatwa na ukakasi kusikia statement hii. Kwanza si kweli kuwa baraza wanatoa vyeti vya mtu mhusika bila yeye mhusika kujua au kupewa. Pia vyeti vya chini ya miaka ya 2007 havina picha ila kuanzia hapo vina picha. Sijui huyo dogo cheti chake ni kipi. Pia zamani vyeti vilikuwa vinatumwa shuleni na vilikuwa vinachukuliwa mashuleni
Mwisho : Sijawahi sikia kuwa kuna mtu Ana cheti chake kimedukuliwa wakati yeye anacho na kusingizia kuwa kuna mtu kamfanyia hivyo maana vyeti halisi (original) tu ndo hupelekwa baraza kukaguliwa na km kuna mashaka, mhusika huitwa kwenda ku-clear doubt. Nimefanya kazi hy sana na naijua. Wapo watu wanaofoji matokeo kwa vyeti orijino, mfano kujiongezea marks, kwenye alama D anaweka B kwenye typewriter. Acha upotoshaji kwa wananchi, km kafoji kafoji tu. Pia kwa nini asiende pale alipochukua vyeti vyake, then baraza?aone?na km cheti chake kilichukuliwa, original ni moja tu, kingine kimepatikan wapi? Alishawahi kwenda baraza kulalamika? Kwenye vyeti ukweli huwa ni 100%
 
Kwa kuwa ni dogo, tuambie kamaliza mwaka gani. Pia unaweza kuingia website ya baraza na akiandika no ya mtihani kila kitu kitaonekana.
 
Nimepatwa na ukakasi kusikia statement hii. Kwanza si kweli kuwa baraza wanatoa vyeti vya mtu mhusika bila yeye mhusika kujua au kupewa. Pia vyeti vya chini ya miaka ya 2007 havina picha ila kuanzia hapo vina picha. Sijui huyo dogo cheti chake ni kipi. Pia zamani vyeti vilikuwa vinatumwa shuleni na vilikuwa vinachukuliwa mashuleni
Mwisho : Sijawahi sikia kuwa kuna mtu Ana cheti chake kimedukuliwa wakati yeye anacho na kusingizia kuwa kuna mtu kamfanyia hivyo maana vyeti halisi (original) tu ndo hupelekwa baraza kukaguliwa na km kuna mashaka, mhusika huitwa kwenda ku-clear doubt. Nimefanya kazi hy sana na naijua. Wapo watu wanaofoji matokeo kwa vyeti orijino, mfano kujiongezea marks, kwenye alama D anaweka B kwenye typewriter. Acha upotoshaji kwa wananchi, km kafoji kafoji tu. Pia kwa nini asiende pale alipochukua vyeti vyake, then baraza?aone?na km cheti chake kilichukuliwa, original ni moja tu, kingine kimepatikan wapi? Alishawahi kwenda baraza kulalamika? Kwenye vyeti ukweli huwa ni 100%
Dogo kamaliza four four 2007.
Hajajiongezea marks. Ukiangalia marks ya kwenye hicho cheti na marks zilizoko kwenye website ya Baraza yanafanana.

Cheti hicho anadai ndio alichokichukua shuleni, matokeo ya kwenye cheti na yako sawa na ufaulu wake.

Hakuna mahala nimesema cheti chake kilidukuliwa. Ila nimesema, inasemekana watu hudurufu vyeti, inaonekana cheti chake sio original(cheti namaanisha ile karatasi) ila content au details zake ziko sahihi.

Hicho original chake(ambacho baraza wamesema nlkimeghushiwa) ndicho alichokipeleka na imeonekana sio halisi.

Nadhani umepata picha. Sasa kwa uzoefu wako hapo shida iko wapi?
 
Kwa kuwa ni dogo, tuambie kamaliza mwaka gani. Pia unaweza kuingia website ya baraza na akiandika no ya mtihani kila kitu kitaonekana.
Namba yake ya mtihani na details zilizoko Baraza viko sahihi vyote.

Wasiwasi wangu ni kwamba labda alimpa mtu cheti chake, huyo mtu akakichezea, akadublicate mtaani kisha akamrudishia ile dublicate na yeye kusepa na original, kwa yeye kujua au kutokujua.

Maana najua watu wengi wana matatizo ya storage ya important documents. Inawezekana kabisa kwa uzembe wake au bahati mbaya vyeti vyake vilikua exposed kwa watu wahuni wakaamua kuvichakachua.

Yeye anadai hajawahi kumpa mtu ila hana uhakika 100% kua cheti chake hakijawahi kuonwa na mtu mwingine katika makazi yake.
 
Yeye anatuhumiwa kua ameghushi. Je mahakamani watamkuta na hatia wakati kiuhalisia yeye ndie aliesoma pale?
Mahakama kukukuta au kutokukukuta na hatia inategemea na ushahidi usioacha shaka yeyote kati ya pande mbili..

Kwakuwa hilo ni kosa la jinai basi yeye awe muwazi tu na awe na ushahidi wa kuwa mmiliki halali wa elimu/cheti hicho.
 
Mahakama kukukuta au kutokukukuta na hatia inategemea na ushahidi usioacha shaka yeyote kati ya pande mbili..

Kwakuwa hilo ni kosa la jinai basi yeye awe muwazi tu na awe na ushahidi wa kuwa mmiliki halali wa elimu/cheti hicho.
Sahihi kabisaaa mkuu
 
Habari.

Wanasheria, naomba kujua mtu anaetuhumiwa kwa kosa kama hili adhabu yake ni nini na kosa lake hasa ni lipi.

Kuna mdogo wangu aliomba kazi mahala, akaombwa kupeleka vyeti baada ya usaili, matokeo yametoka Baraza kua cheti chake kimoja ameghushi.

Lakini ukiangalia matokeo yake mtandaoni na taarifa zake ziko sahihi na cheti chake hicho ila Baraza wanasema ameghushi.

Kwa taarifa imeonekana kwamba kuna watu hua wanadurufu vyeti(hivyo cha kwake kinaonekana kudurufiwa ila taarifa zake zote ni sahihi). Yeye anadai hajui chochote kuhusu hilo. Yeye halisi ndio alisoma hiyo shule na matokeo yake ni mazuri zaidi.

Naomba kujua huyu kosa lake ni lipi hapo, je kama mtu alidurufu cheti chake na akambadilishia akampa copy na bila kujua akapeleka copy baraza, kosa lake kisheria ni lipi na adhabu yake itakua ipi?

Je mahakamani hutumika logic au mtu tu anahukumiwa kwa kosa lolote hata kama limesababishwa na mtu mwingine?

Ahsante.
Huyo hana kosa anatakiwa athibitishe kwamba cheti keli ni chake basi,kama aligushi ,kifungu 337 cha penal code kinamtandika kifungo kisichozidi miaka saba gerezani,ingekuwa bima na kodi adhabu ni zaidi ya hapo.
 
Back
Top Bottom