R Retired JF-Expert Member Joined Jul 22, 2016 Posts 44,629 Reaction score 83,056 Oct 29, 2017 #41 Mfukua Makaburi said: Inawezekana kabisa. Kuna mahala aliviweka au kuvitoa vikachezewa. Sasa suluhisho hapo ni nini mkuu Click to expand... atoe ripoti polisi na NECTA akieleza ukweli. Ushahidi wa shule alizosoma, walimu wake particularly mwalimu mkuu watampa ushahidi usio na mashaka. Amemaliza mwaka gani? Hiyo itamuweka huru
Mfukua Makaburi said: Inawezekana kabisa. Kuna mahala aliviweka au kuvitoa vikachezewa. Sasa suluhisho hapo ni nini mkuu Click to expand... atoe ripoti polisi na NECTA akieleza ukweli. Ushahidi wa shule alizosoma, walimu wake particularly mwalimu mkuu watampa ushahidi usio na mashaka. Amemaliza mwaka gani? Hiyo itamuweka huru