LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Jina kwenye cheti chake cha O Level: Mohamed DAIMA.
Jina kwenye cheti cha A level;
Mohamed DAIMA.
Jina kwenye cheti chake cha LLB
Mohamed DAIMA.
Jina kwenye cheti chake cha Law School
Mohamed DAIMA.
JINA KWENYE CHETI CHAKE CHA KUZALIWA:
Mohamed DAIMA.
Kwenye cheti chake cha kuzaliwa Kuna sehemu ya jina la Baba ake ambalo ni HUSSEIN DAIMA.
SWALI LANGU : JE HUYU JAMAA KWENYE PETITION YAKE ATATAKIWA KU ATTACH NA DEED POLL? Sababu jina Hussein halipo kwenye majina ya vyeti vyake vya kitaaluma?
Kwa ambao mmewahi kufanya petition na wenye ujuzi na swala hili naomba maelekezo yenu tafadhali.
Dogo anafanya petition ya kuwa admitted as an Advocate of the High Court of Tanzania and Subordinate Court thereto save for primary courts .
Kapiga mzinga WA hela ya deed poll . So nataka kujiridhisha Kwanza.
With much thanks in advance
Jina kwenye cheti cha A level;
Mohamed DAIMA.
Jina kwenye cheti chake cha LLB
Mohamed DAIMA.
Jina kwenye cheti chake cha Law School
Mohamed DAIMA.
JINA KWENYE CHETI CHAKE CHA KUZALIWA:
Mohamed DAIMA.
Kwenye cheti chake cha kuzaliwa Kuna sehemu ya jina la Baba ake ambalo ni HUSSEIN DAIMA.
SWALI LANGU : JE HUYU JAMAA KWENYE PETITION YAKE ATATAKIWA KU ATTACH NA DEED POLL? Sababu jina Hussein halipo kwenye majina ya vyeti vyake vya kitaaluma?
Kwa ambao mmewahi kufanya petition na wenye ujuzi na swala hili naomba maelekezo yenu tafadhali.
Dogo anafanya petition ya kuwa admitted as an Advocate of the High Court of Tanzania and Subordinate Court thereto save for primary courts .
Kapiga mzinga WA hela ya deed poll . So nataka kujiridhisha Kwanza.
With much thanks in advance