666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,700
- 3,921
Hii imekua ni kawaida sasa kukuta mtu wa kawaida tu (layman) asiejua sheria kuuliza swali la kisheria au kutaka msaada wa kisheria then ikapita ata week nzima bila mtu huyu kusaidiwa, ni sawa kusaidiana sio lazima na kwakua huduma hii utolewa kwa malipo ya fedha, ila je nini kusudio la jukwaa hili ambalo wewe mwanasheria ni member? Pili, kwani kutoa ushauri mdogo tu tena mwingine ni wa vitu vidogo kabisa tena vitu vya kuandikiwa ata sentesi mbili tu za maneno ila kusaidiwa inakua tabu sana.
Nafikiri lengo la jukwaa lilikua ni zuli tu na kuwasaidia hawa ambao hawana uelewa kwa kiasi flani wa masuala ya sheria, dunia ni kubwa waungwana utakae msaidia leo ndio atakae kusaidia kesho, alafu pengine ndio anaweza kua mteja wako huyo.
Hili swala la watu kutaka msaada wa kisheria na wasisaidiwe kwa wakati muafaka au majibu mepesi mepesi na kejeli nyingi linakera sana, yaani katatizo kadogo tu mtu hajibiwi ata mwezi au hapati majibu kabisa while humu jf kila mtu ana dai ni mwanasheria na majukwaa mengine ana tamba sanaa ila jukwaa hili kimyaaa! Sasa si tumesomeshwa kwa kodi za hawa watu wakawaida jamani.
Anyway ni mtazamo tu na binafsi nliona kama ata mie nimekua sitendi haki kwa namna moja au nyingine ktk jukwaa hili pi, basi tubadilikeni waungwana, tulifufue jukwaa hili kwa kila namna. Na kwa kuanzia ntajitolea kumjibu kila anaetaka msaada kwa kadri niwezavyo na nipatapo muda walau kwa kiasi tu.
Balozi Mpya Jukwaa la sheria.
Nafikiri lengo la jukwaa lilikua ni zuli tu na kuwasaidia hawa ambao hawana uelewa kwa kiasi flani wa masuala ya sheria, dunia ni kubwa waungwana utakae msaidia leo ndio atakae kusaidia kesho, alafu pengine ndio anaweza kua mteja wako huyo.
Hili swala la watu kutaka msaada wa kisheria na wasisaidiwe kwa wakati muafaka au majibu mepesi mepesi na kejeli nyingi linakera sana, yaani katatizo kadogo tu mtu hajibiwi ata mwezi au hapati majibu kabisa while humu jf kila mtu ana dai ni mwanasheria na majukwaa mengine ana tamba sanaa ila jukwaa hili kimyaaa! Sasa si tumesomeshwa kwa kodi za hawa watu wakawaida jamani.
Anyway ni mtazamo tu na binafsi nliona kama ata mie nimekua sitendi haki kwa namna moja au nyingine ktk jukwaa hili pi, basi tubadilikeni waungwana, tulifufue jukwaa hili kwa kila namna. Na kwa kuanzia ntajitolea kumjibu kila anaetaka msaada kwa kadri niwezavyo na nipatapo muda walau kwa kiasi tu.
Balozi Mpya Jukwaa la sheria.