frank mkweli
Member
- Aug 9, 2013
- 92
- 12
Habari wakuu vipi wazima?
Mimi mzima nina swali naomba nikuulize.
Hivi kuna Sheria ya kumshitaki mwajiri kama alikuwa haweki hela za NSSF na loan board ukamshitaki, na lingine kama bima yangu haifanyi kazi.
Natakiwa nifanye nini na pia zile hela za helsb ambazo zimekatwa kwangu hazijaenda naweza zi claim cash?
Mimi mzima nina swali naomba nikuulize.
Hivi kuna Sheria ya kumshitaki mwajiri kama alikuwa haweki hela za NSSF na loan board ukamshitaki, na lingine kama bima yangu haifanyi kazi.
Natakiwa nifanye nini na pia zile hela za helsb ambazo zimekatwa kwangu hazijaenda naweza zi claim cash?