Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Mods naomba msinchanganye hii:
Wanasheria mnasemaje ktk hili?Ugaidi umekuwa ukilazimishwa in a predatory ways..Je ni halali?
Tumeona majaribio mengi ya kulazimisha ugaidi yakifanywa na polisi,kwa kiasi cha kufanya kabisa ugaidi ili mwingine aitwe gaidi.Na imedhihirika wazi pale anayeitwa gaidi akikosekana na hatia basi gaidi wa kweli aliyefanya matendo hashughulikiwi kabisa.Hadi hapa sheria zinasemaje?
Wanasheria mnasemaje ktk hili?Ugaidi umekuwa ukilazimishwa in a predatory ways..Je ni halali?
Tumeona majaribio mengi ya kulazimisha ugaidi yakifanywa na polisi,kwa kiasi cha kufanya kabisa ugaidi ili mwingine aitwe gaidi.Na imedhihirika wazi pale anayeitwa gaidi akikosekana na hatia basi gaidi wa kweli aliyefanya matendo hashughulikiwi kabisa.Hadi hapa sheria zinasemaje?