Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Kwanza salaam.
Nilinunua laptop tar 31.1.2014. Arusha mjini na nikapew warranty ya mwaka mmoja. Baada ya kuitumia kwa miez 2 imekufa spika nikaipeleka tar 10 mwez huu, wakaniambia baada ya week 2 nikaichukue lakin leo wamenipigia sim inaonesha wamshindwa kurekebisha. Je nini nifanye?
Nilinunua laptop tar 31.1.2014. Arusha mjini na nikapew warranty ya mwaka mmoja. Baada ya kuitumia kwa miez 2 imekufa spika nikaipeleka tar 10 mwez huu, wakaniambia baada ya week 2 nikaichukue lakin leo wamenipigia sim inaonesha wamshindwa kurekebisha. Je nini nifanye?