Mndwyika.wetu
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 652
- 829
Kikatiba ni wakati gani maandamano ya wanachi yanapokua halali na wakati gani yanakua haramu?
Je maandamano ni hisani kutoka polisi?
Je katiba inasema maandamano halali ni yale tu ya kuunga nkono na kusifia wakuu ?
Maandamano yakiwa ni ya kupinga, kulalamika (picketing) yanakua haramu?
Je maandamano ni hisani kutoka polisi?
Je katiba inasema maandamano halali ni yale tu ya kuunga nkono na kusifia wakuu ?
Maandamano yakiwa ni ya kupinga, kulalamika (picketing) yanakua haramu?