Wanasheria,naomba mfano wa kesi ambayo circumstantial evidence ilitumika kumtia mtu hatiani

Client hawezi kukuambia eti nipe mifano ya cases za circumstantial ev.
Huyo jamaa ni lawyer mvivu wa kusoma tu. Mana nimempa list ya vitabu km no lawyer kweli angenielewa.
 
kwani hapa alitaka vitabu au aliomba msaada kwa anaejua? ungekaa tu kimya bab anake dunia tushajua hujui kitu!
 
kwani hapa alitaka vitabu au aliomba msaada kwa anaejua? ungekaa tu kimya bab anake dunia tushajua hujui kitu!
Hakuna kutafuniwa! Akasome tu maana wakati wenzie wanasoma yeye alikuwa anajirusha.
Dizain mawakili wa serikali.
 
kwani hapa alitaka vitabu au aliomba msaada kwa anaejua? ungekaa tu kimya bab anake dunia tushajua hujui kitu!
We kwel kilaza....huyo kaomba msaada wa cases ..sasa namwambia izo cases na nyingine nyingi zipo kwenye ivo vitabu tajwa.. sasa ulitaka msaada wangu nimnunulie ivo vitabu ama? Mana huyo aliyeuliza anaonekana ni "lawyer" sasa hataki kusoma cjui anataka asaidiwaje? Ni kama ni "layman" ..anataka msaada wa kesi za nini sasa? Kama anataka msaada wa kisheria.. kuna legal aid centres aende watamsaidia

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kutafuniwa! Akasome tu maana wakati wenzie wanasoma yeye alikuwa anajirusha.
Dizain mawakili wa serikali.
Huyo kwel atakua wakili wa serikali tu. Yani nimempa njia nzuri ya kupata izo cases lakin naonekana mbinafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…