Wanasheria,naomba mfano wa kesi ambayo circumstantial evidence ilitumika kumtia mtu hatiani

Wanasheria,naomba mfano wa kesi ambayo circumstantial evidence ilitumika kumtia mtu hatiani

But si mbaya kumshauri koz naona each post inakomalia aliyetuma post Akasome...! Lawyers usually give opinion Na Trust me Sheria ipo applicable wherever you go..sidhani kama ni offence kumpa jibu,,kwanza Nina doubt wanaotoa ushauri ni Half-baked lawyers...if you're a learnt fella hutoacha kumshauri MTU either layman or what's soo ever,,hembu waza jamii inakuchukuliaje kwa majibu yako au hata mtaani au kwenu ama client akikuomba ushauri huwa una respond the same..!! Huo ndio u advocate mchwara sasa be Positive Na jifunze kuwa kioo kwa jamii
Client hawezi kukuambia eti nipe mifano ya cases za circumstantial ev.
Huyo jamaa ni lawyer mvivu wa kusoma tu. Mana nimempa list ya vitabu km no lawyer kweli angenielewa.
 
We taaira kweli...sasa mm nampa njia rahisi ya kupata izo kesi ulitakaje hasa? Kama huyo jamaa ni lawyer ye ndo hajui kitu mana hata research hajui kufanya.
Alafu usilie lie hapa...sitoi legal aid mm..
Nimempa list ya vitabu vizuri ulitaka mm nimnunulie ivo vitabu ama.
Vitu vingine huezi kuandikiwa hapa.
kwani hapa alitaka vitabu au aliomba msaada kwa anaejua? ungekaa tu kimya bab anake dunia tushajua hujui kitu!
 
kwani hapa alitaka vitabu au aliomba msaada kwa anaejua? ungekaa tu kimya bab anake dunia tushajua hujui kitu!
Hakuna kutafuniwa! Akasome tu maana wakati wenzie wanasoma yeye alikuwa anajirusha.
Dizain mawakili wa serikali.
 
kwani hapa alitaka vitabu au aliomba msaada kwa anaejua? ungekaa tu kimya bab anake dunia tushajua hujui kitu!
We kwel kilaza....huyo kaomba msaada wa cases ..sasa namwambia izo cases na nyingine nyingi zipo kwenye ivo vitabu tajwa.. sasa ulitaka msaada wangu nimnunulie ivo vitabu ama? Mana huyo aliyeuliza anaonekana ni "lawyer" sasa hataki kusoma cjui anataka asaidiwaje? Ni kama ni "layman" ..anataka msaada wa kesi za nini sasa? Kama anataka msaada wa kisheria.. kuna legal aid centres aende watamsaidia

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kutafuniwa! Akasome tu maana wakati wenzie wanasoma yeye alikuwa anajirusha.
Dizain mawakili wa serikali.
Huyo kwel atakua wakili wa serikali tu. Yani nimempa njia nzuri ya kupata izo cases lakin naonekana mbinafsi
 
Back
Top Bottom