Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 727
Watu tuliowekeza kwenye biashara ya daladala tunakumbana na shida nyingi sana.
Utasikia dereva anakupigia simu eti gari imekamatwa na imepelekwa kituoni halafu huyo dereva aliyefanya hilo kosa tena wakati mwingine ni la kizembe kabisa yuko huru nje , tena anacheka na kupiga stori na wenzake.
Halafu wewe mwenye gari unaacha shughuli zako na kuanza kuhangaika kuitoa gari.
Swali kwa wanasheria , Je gari ndo yenye makosa ?au ni huyu dereva ambaye yeye ni kiumbe mwenye akili anayejua mema na mabaya?
Na kama ni dereva ndo mwenye makosa kwa nini polisi wanakomaa na gari kituoni , huku dereva akichekelea nje?
Utasikia dereva anakupigia simu eti gari imekamatwa na imepelekwa kituoni halafu huyo dereva aliyefanya hilo kosa tena wakati mwingine ni la kizembe kabisa yuko huru nje , tena anacheka na kupiga stori na wenzake.
Halafu wewe mwenye gari unaacha shughuli zako na kuanza kuhangaika kuitoa gari.
Swali kwa wanasheria , Je gari ndo yenye makosa ?au ni huyu dereva ambaye yeye ni kiumbe mwenye akili anayejua mema na mabaya?
Na kama ni dereva ndo mwenye makosa kwa nini polisi wanakomaa na gari kituoni , huku dereva akichekelea nje?