Koloboy
Member
- Aug 13, 2017
- 61
- 154
Naombeni Msaada Wa Kisheria Ndugu Wanasheria Juu Ya Matatizo Yaliyojitokeza.
Ni Hivi Kuna Ndugu Yangu Mmoja Alipata Kufunga Ndoa Mwaka 2015 , Na Baada Ya Kufunga Ndoa Wakaendelea Kuishi Na Mkewe Kama Wanandoa.
Na Baada ya mda Yule Mwanamke Akaonekana Kama Ni Mjamzito Kwa Hiyo Mume Hakuwa Na Shaka juu Ya Hiyo Mimba Na Badala Yake Hapo Mume Aliendelea Kuihudumia Ile Mimba Akiamini Kuwa Ni Damu Yake Halali Ambayo Imepatikana Kwa Uwezo Wa Mungu Kuleta Nusra Ndani Ya Ndoa.
Lakini Tatizo Likaanza Kujitokeza Baada Ya Yule Mke Kujifungua Mtoto , Yani Hapa Mwanamke Alianza Kudai Talaka Ili Aachwe Akisema Kuwa Amechoshwa na Maisha Yale.
Mume Huyu Alikuwa Mkalimu Sana Na Baadae Akaamua Kumuacha Yule Mwanamke.
Sasa Baada ya Mwanamke Kuachwa Na Yule Mume Hakutaka Tena Yule Mtoto Hata Akikua aje Kwa Baba Yake Wa Ndoa Ama Baba Yake Aje Kumuona Mtoto Wake.
Mwanamke Alianza Kuweka Vipingamizi Vya Kutotaka Baba Aonane Na Mwanae, Lakini Huduma za Hela Alikuwa Anazipokea Kwa Njia Ya Muamala Wa Simu.
Maisha Yakasonga Mpaka Mtoto Amefikisha Almost Kama Miaka Miwili Mpaka Sasa Hali Ikawa Ndio Hiyo Hiyo Ya Mama Kutotaka Mwanae Aonnane na Babake Wa Ndoa.
Mume Akaona Sio Shida Akaanza Kufuata Sheria Juu Ya Kupata Haki yake Ya Mtoto Na Akaenda Kuongea Na Wazazi Wa Yule Binti Ambao Waliozesha Ile Ndoa Na Wazazi Wakaridhia Amchukue Yule Mtoto Lakini Binti Yao Alikuwa Hataki Hilo Jambo.
Kwa Hiyo Kwa Ufupi Kesi Ikafika Polisi Na Watu Wa Ustawi Wa Jamii Walikuwepo Pia Kwenye Suruhu Hiyo Ila Baadae Yule Binti ( Mwanamke ) Alisema Kuwa Yule Mtoto Si Mtoto Wa Huyu Mwanaume Kwa Sababu Aliolewa Wakati Akiwa na Mimba Ya Kijana Mwingine Na Baadae Ikathibika Kabisa Kuwa Hata CLINIC CARD Pia Alisha Badirisha Jina Kutoka Kwa Baba Wa Ndoa Kwenda Kwa Baba Wa Nje.
Na Polisi Na Watu Watu wa Ustawi Wa Jamii Wakiwepo Wakasema Ili Kesi Ama Baba Wa Harusi Ampate Mtoto Wake Inatakiwa Waende Wakaangalie/ Wakapime DNA.
Kwa Hiyo Naombeni Msaada Wa Kisheria Juu Ya Hali Na Mazingira Ya Mgogoro Huo jinsi Ulivyo Na Ni Yupi Mwenye Mtoto Halali Kati Ya Hao Wazazi Na Yupi Mwenye Makosa Hapo???
Na Ili Baba Wa Ndoa Ampate Mtoto Wake Anatakiwa Afanye Nini Hapa???
Tafadhari Wanasheria Wetu Mtusaidie Juu Ya Hilo Jambo
Anayeweza Kutag Naombeni Amtag PETRO E. MSELEWA
Ni Hivi Kuna Ndugu Yangu Mmoja Alipata Kufunga Ndoa Mwaka 2015 , Na Baada Ya Kufunga Ndoa Wakaendelea Kuishi Na Mkewe Kama Wanandoa.
Na Baada ya mda Yule Mwanamke Akaonekana Kama Ni Mjamzito Kwa Hiyo Mume Hakuwa Na Shaka juu Ya Hiyo Mimba Na Badala Yake Hapo Mume Aliendelea Kuihudumia Ile Mimba Akiamini Kuwa Ni Damu Yake Halali Ambayo Imepatikana Kwa Uwezo Wa Mungu Kuleta Nusra Ndani Ya Ndoa.
Lakini Tatizo Likaanza Kujitokeza Baada Ya Yule Mke Kujifungua Mtoto , Yani Hapa Mwanamke Alianza Kudai Talaka Ili Aachwe Akisema Kuwa Amechoshwa na Maisha Yale.
Mume Huyu Alikuwa Mkalimu Sana Na Baadae Akaamua Kumuacha Yule Mwanamke.
Sasa Baada ya Mwanamke Kuachwa Na Yule Mume Hakutaka Tena Yule Mtoto Hata Akikua aje Kwa Baba Yake Wa Ndoa Ama Baba Yake Aje Kumuona Mtoto Wake.
Mwanamke Alianza Kuweka Vipingamizi Vya Kutotaka Baba Aonane Na Mwanae, Lakini Huduma za Hela Alikuwa Anazipokea Kwa Njia Ya Muamala Wa Simu.
Maisha Yakasonga Mpaka Mtoto Amefikisha Almost Kama Miaka Miwili Mpaka Sasa Hali Ikawa Ndio Hiyo Hiyo Ya Mama Kutotaka Mwanae Aonnane na Babake Wa Ndoa.
Mume Akaona Sio Shida Akaanza Kufuata Sheria Juu Ya Kupata Haki yake Ya Mtoto Na Akaenda Kuongea Na Wazazi Wa Yule Binti Ambao Waliozesha Ile Ndoa Na Wazazi Wakaridhia Amchukue Yule Mtoto Lakini Binti Yao Alikuwa Hataki Hilo Jambo.
Kwa Hiyo Kwa Ufupi Kesi Ikafika Polisi Na Watu Wa Ustawi Wa Jamii Walikuwepo Pia Kwenye Suruhu Hiyo Ila Baadae Yule Binti ( Mwanamke ) Alisema Kuwa Yule Mtoto Si Mtoto Wa Huyu Mwanaume Kwa Sababu Aliolewa Wakati Akiwa na Mimba Ya Kijana Mwingine Na Baadae Ikathibika Kabisa Kuwa Hata CLINIC CARD Pia Alisha Badirisha Jina Kutoka Kwa Baba Wa Ndoa Kwenda Kwa Baba Wa Nje.
Na Polisi Na Watu Watu wa Ustawi Wa Jamii Wakiwepo Wakasema Ili Kesi Ama Baba Wa Harusi Ampate Mtoto Wake Inatakiwa Waende Wakaangalie/ Wakapime DNA.
Kwa Hiyo Naombeni Msaada Wa Kisheria Juu Ya Hali Na Mazingira Ya Mgogoro Huo jinsi Ulivyo Na Ni Yupi Mwenye Mtoto Halali Kati Ya Hao Wazazi Na Yupi Mwenye Makosa Hapo???
Na Ili Baba Wa Ndoa Ampate Mtoto Wake Anatakiwa Afanye Nini Hapa???
Tafadhari Wanasheria Wetu Mtusaidie Juu Ya Hilo Jambo
Anayeweza Kutag Naombeni Amtag PETRO E. MSELEWA