Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Hapo mtihani mkuu ila inategemea na moyo wa huyo mpangaji kama kiroho safi ni kweli maboss wengine wanataka waone kwanza mkataba ili waukubali au waukatae sasa mkisign simtakuwa mmeshajiamulia bila idhini ya boss.Ni hayo tu ila mengine ni wewe ndo unaweza ukamsoma huyo jamaa anasomekaje[Ni kweli umesema lakini mbona alipokuja kwangu kupanga hakuniambia hivyo?