Wanasheria ni watu wezi wa kalamu wa mali za taifa!

Wanasheria ni watu wezi wa kalamu wa mali za taifa!

mkulima gwakikolo

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2014
Posts
1,767
Reaction score
2,855
Katika nchii hii,mahakimu wa mahakama zote,waendesha mashtaka,mawakiri na wanasheria wa serkari ni watu wanaongamiza rasmali za nchi,
Ukienda kweny ofisi za hawa watu ni deal kw kwenda mbele,angalia ufisadi wa nch hii mwingi umeasisiwa na hawa watu, ukienda mahakamani ni rushwa mtindo mmja.haki za wanyonge znapindshwa sana maadam uwe na hela hata kama una offence end of the day unashnda,
Law is no longer a displine professional!!! ,kama ilivo Md ambako watu huwatibu wagonjwa ktk mazingra magum kw uvumilivu mkubwa japo masirahi madogo....
Lawyers sio wattez wa wanyonge wao sku hz thy r dealer!!! Wadau ebu tuchangie hii fan I inaendana na malengo ya uasisi wake ktk vyuoo vyetu nchini ??
 
kila kaz ina maadil yake..lawyers likewise are having their codes of good ethics..inaonekana cku hiz matatzo haya ya rushwa ni meng..na si kwa wanasheria tu.sasa kwakua hoja ni juu ya wanasheria ni kwamba weng wanakiuka misingi ya maadili ya taaluma zao coz haya wafanyayo ni kinyume na maadili ya taaluma hii
 
Back
Top Bottom