technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Hivi ni muda gani nchi inaweza kukaa bila jaji mkuu? Ni kwa kipindi gani au ni kwa muda gani wakuu...
Nchi inakaa na Kaimu jaji karibia miaka 2 sasa hivi hii imetafasiliwaje kwenye maswala ya kimahakama ?..
Wanasheria hii imekaaje je nini kinasababishwa huyu jaji asipewe mamlaka kamili ya kuwa jaji mkuu?
Tatizo ni nini hapa je kuna tofauti gani kwa nchi kukaa bila jaji na pale inapikuwa na kaimu jaji?..
Hii ni kwa wanasheria nataka kujua je hatuvunji katiba kama nchi kukaa miaka karibia 2 bila jaji mkuu wa nchi?....
Nchi inakaa na Kaimu jaji karibia miaka 2 sasa hivi hii imetafasiliwaje kwenye maswala ya kimahakama ?..
Wanasheria hii imekaaje je nini kinasababishwa huyu jaji asipewe mamlaka kamili ya kuwa jaji mkuu?
Tatizo ni nini hapa je kuna tofauti gani kwa nchi kukaa bila jaji na pale inapikuwa na kaimu jaji?..
Hii ni kwa wanasheria nataka kujua je hatuvunji katiba kama nchi kukaa miaka karibia 2 bila jaji mkuu wa nchi?....