Wakuu,
Watanzania wengi kwa sasa hawaelewi kitu gani kinaendelea kuhusiana kesi ya aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Hai.
Hivi wanasheria wasomi ndani ya nchi hii hamuoni missing gap hapa kwa wananchi wa kawaida?
Sisi Watanzania tunahitaji uchambuzi na ufananuzi zaidi kuhusiana na scenario ya kesi hii
Watanzania wengi kwa sasa hawaelewi kitu gani kinaendelea kuhusiana kesi ya aliyewahi kuwa mkuu wa wilaya ya Hai.
Hivi wanasheria wasomi ndani ya nchi hii hamuoni missing gap hapa kwa wananchi wa kawaida?
Sisi Watanzania tunahitaji uchambuzi na ufananuzi zaidi kuhusiana na scenario ya kesi hii