Wanasheria tusaidiane, kwanini Lulu yupo nje wakati kesi ya mauaji haina dhamana?!

Wanasheria tusaidiane, kwanini Lulu yupo nje wakati kesi ya mauaji haina dhamana?!

Mpigie simu kibatala au msando ndio wanajua nini kimetokea mpaka akatoka nje kwa dhamana.
 
UKIMWEKA NDANI VIPI KIU YETU UTAIMALIZA WEWE! SHERIA TUMETUNGA WENYEWE!
 
Ile kesi ilibadilika na kuwa kuua bila kukusudia ndio maana yupo nje.
Wanasheria ebu tueleweshe,ilikuwaje wakaigeuza kesi kuwa ya kuua bila kukusudia wakati ushaidi ulikuwa haujaanza kutolewa? I mean charge aliyoshitakiwa nayo ni murder ,ni upi utaratibu wa kubadilisha charge ya murder kuwa manslaughter?
 
Ni ujinga kumweka Lulu kizimbani ilihali alikuwa anajihami ili asibakwe....

Kesi kama hii sioni kama ina mashiko, niyakuifutilia mbali
 
I see.......... imenikumbusha mbali sana. RIP Kanumba
 
Acha kuropoka usichokijua,lulu yupo nje kwa dhamana kwakuwa kesi yake ni kuua bila kukusudia(manslaughter) na sio kesi ya kuua kwa kukusudia(murder case)
Ata wewe acha kuropoka usichokijua,kesi inabadilishwa kuwa ya kuua bila kukusudia baada ya kuwa ushahidi umetolewa na ndipo jaji katika kuitimisha verdict anamtia mtu hatiani kwa kosa la kuua bila kukusudia badala ya mauaji aliyoshitakiwa nayo na kutoa adhabu hapohapo.Kwa issue ya Lulu utaratibu ulikiukwa kwani charge ilibadilishwa kabla ya ushaidi.Huyo aliyesema aliua bila kukusudia kabla ya ushahidi haujatolewa mahakamani na mshitakiwa kujitetea yeye alikuwepo kwenye tukio?
 
Ina dhamana hyo bcoz kesi ya mauaji kwa kukusudia ni km jambazi au kibaka anayevamia mtu. Huyo ni kesi ya kukusudia. Kesi pasipo kukusudia ni pale mtafaruku unapotokea baina ya wafahamianao unapoleta madhara ya kifo. Mm ni mkunga but huwa najisomea vijisheria
 
hakuna kesi au shitaka lisilo na dhamana..!! katiba inasema dhamana ni haki ya kila mmoja
 
Kumuweka ndani binti mzuri kama huyo ni matumizi mabaya ya sheria, tena kesi yenyewe ya kuua bila kukusudia, wacha wanaume waendelee kufurahia uumbaji wa mungu
Aisee . .... Kanumba alikuwa anakula kitu kinabana vizuri sana.
 
Back
Top Bottom