bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,646
Naomba kupewa ufafanuzi ndugu zangu mliobobea katika masuala haya ya Sheria,hivi askari anapokuwa katumwa katika operesheni fulani kwa ajili ya kudhibiti amani lakini ikatokea akajifyatua na kufanya kazi hiyo kwa kufuata miongozo yake hadi kufikia kutenda kosa la jinai mfano kuua,kutia kilema(kujeruhi) n.k je sheria inasemaje??je anaweza kushtakiwa?Je ni nani hasa mwenye jukumu la kufungulia kesi?
Tafadhali naomba msaada wenu wataalam kwa kina zaidi.
Tafadhali naomba msaada wenu wataalam kwa kina zaidi.