Wapinzani wote mnapinga mkataba kwa maslahi yenu binafsi kuliko ya wananchi!Serikali yote inatetea mkataba kwa nguvu zote kuliko maslahi ya wananchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapinzani wote mnapinga mkataba kwa maslahi yenu binafsi kuliko ya wananchi!Serikali yote inatetea mkataba kwa nguvu zote kuliko maslahi ya wananchi.
Umeusoma mkataba unakubali masharti, vipengele vyote?Wapinzani wote mnapinga mkataba kwa maslahi yenu binafsi kuliko ya wananchi!
We umeusoma? Unapinga vipengele vyote?!!!Umeusoma mkataba unakubali masharti, vipengele vyote,
Sipingi vipengele vyote, napinga vipengele vichache. Nakubali uwezekaji, kuongeza ufanisi bandarini.We umeusoma? Unapinga vipengele vyote?!!!
Basi balance habari kwa, hata mara moja moja, kutuambia kuhusu na hivyo vizuri.Sipingi vipengele vyote, napinga vipengele vichache.
Mkuu vipengele vibaya ndio vitatuumiza kama Taifa kwa miaka mingi. Nafikiri sote tunataka mkataba mzuri, usiosumbua huko mbeleni kama nchi zingine.Basi balance habari kwa, hata mara moja moja, kutuambia kuhusu na hivyo vizuri.
Kwani miaka mia si sawa na kuuzwa tu. Kwani wakiuza watakuambia? Loliondo leo utasema haijauzwa? Pengine dubai wakikabidhiwa miaka zaidi ya 30 ulikua hujazaliwa😆😂...ooops faiza nina hakika wee kikongwe😂😂Ni vyema umebadili nyimbo, ilikuwa "bandari imeuzwa" sasa imekuwa "kukodisha bandari".
".
Mengine hayo ni porojo zako tu. Unajiaminisha ujinga tu.
Kawaida ilikuwa kupata umeme.maji Sasa muuliuze waziri wa nishati, atakwambia hakuna mvua, crane,Magufuli hakufanya ukarabati.Km kawa!!!
Loliondo imeuzwa, faida gani wamepata wamasai?Kwani miaka mia si sawa na kuuzwa tu. Kwani wakiuza watakuambia? Loliondo leo utasema haijauzwa? Pengine dubai wakikabidhiwa miaka zaidi ya 30 ulikua hujazaliwa😆😂...ooops faiza nina hakika wee kikongwe😂😂
Nyie mpo karibu sana na serikali. Wale ni ndugu zenu, washkaji zenu. Kuna tofauti na mlalahoi kama mimi.Sijui huko, huku kwetu haujawahi kuwa changamoto ya kihiiivyo. Kukiwa na tatizo ukipiga tu makao makuu wanakufikia ndani ya dakika.