Fortunatus Buyobe
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 463
- 1,127
- Thread starter
- #21
Tena nikukatishe tamaa kabisa kwa kukupa habari sahihi.Kwa taarifa sahihi ambayo itakuumiza ni kwamba CHADEMA ina wanasheria wengi zaidi ya hao tena vijana wadogo kuna akina Esther Daffi,Hekima Mwasipu,Mdeme na mentor wao kibao.
Sasa hii hoja ya ajabu ajabu kama hii haistahili kutolewa ikiwa unajua maana ya accountability.Badala ya kujiuliza tumefikaje hapa,sasa we are trying to evade responsibilities.Really?Chadema si watawala.
Jifunze kuelekeza hasira zako sehemu sahihi
Fanya research.Kusema kweli hoja hii haina umaarufu wa kitaaluma.I dont feel the intellectual vibrancy.Ina sifa zote za kufilisika
Bosi naomba upende kujibu hoja na sio bla bla,kwenye thread yangu sijataka kujua chadema kuna wanasheria wangapi au mentor wao ni nani?hoja hapa ni hawa wataalamu wa sheria kuguswa na kuanza sasa kuifungulia wao kesi serikali kwa manufaa ya umma.mbona wakina mtikila wamejaribu?Ben jaribu kuwa unaheshimu mawazo ya wengine if you want to prosper in political grounds.