EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
EMT na Anhauser sheria ya 2010 sio inayohusu gharama za uchaguzi?
Kinachozungumzwa hapa ni "Maadili ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani 2010". Haya maadili ambayo yametengenezwa na NEC kwa kupitia mamkala iliyopewa na Sheria ya Uchaguzi ya mwaka 1985.