Wanasheria wa lady JD wamtaka Gardner kuomba msamaha kwa maneno yake ya kidhalilishaji

Jide ndo atatakiwa kuthibitisha kuwa Hakukojoleshwa kwa kuwa Mlalamikaji ndio mwny jukumu la kuthibitisha kosa!
 
Unampa pole ya nini?
We huna utu kabisa?
Yani washa achana anamguata fuata wa nini?

Kamthalilisha sana!
Apelekwe mahakamani na kesi ya Tort!
Tatizo lipo katika mantiki ya kumuunganisha Jide na neno kukojozwa, kama iwapo ukabahatika kuisikiliza ile clip hiyo kauli ya kukojozwa Jide hajatajwa. Ila Jide amepata hisia tu kwamba yeye ndiye mlengwa wa ile kauli ya kukojozwa. Je kama iwapo Gadna akathibitisha kwamba alimaanisha mengine, Jide ataficha wapi usowe?
 
Kukojozwa sio tusi,wangapi humu mnakojozwa mpaka mara tisa mbona humtaki kuombwa radhi sana sana mnazidi kutengeneza mazingira ya kuzidi kukojozwa,acheni unafiki
 
Mie naona afadhi jide angejitokeza kwanza kukanusha hajawahi kukojozwa halafu kazi iwe kwa gadner kuthibitisha lakini kutaka kuombwa radhi kwa kustareheshwa? Sijawahi kusikia popote
 
Mie naona afadhi jide angejitokeza kwanza kukanusha hajawahi kukojozwa halafu kazi iwe kwa gadner kuthibitisha lakini kutaka kuombwa radhi kwa kustareheshwa? Sijawahi kusikia popote
Hapa katika haya marumbano naona kama anatafuta kiki ya kuunyanyua mziki wake. Kuna mambao mengi sana ambayo anatakiwa ayafanye kwa kipindi hiki baada ya kuachana na Gadna ili aweze kusonga mbele.
 
tanzania bado tunasafari ndefu?..kukaa kimya watu hatuwezi.Kaka mkubwa alichoka kuvumilia.Kibomu kimoja tu keleleeeee usiku na mchana apite vileeee
 
Kwenye hili nahisi JD anaweza kushindwa, hakuna evidence kwamba alimtaja yeye zaidi ya society kwa ujumla ku conclude ni yeye ( ambapo ni kweli.) but law doesn't deal with assumptions naamini.

Yani JD angenyamaza akaendelea ku focus na kazi yake. Jamii ishampa pressure ya kutosha huyo gadna sidhani kama atarudia tena.
 
Gardner kesi anashinda maana hakumtaja jina. Anajuaje kama alimlenga yeye na siyo chepuko wake pengine?
 
Mh! huyu Kigwangala nae anakomaliaga issue za ajabu ajabu tu, haya mambo aachiwe mwenyewe Jide aamue aatakavyo sio serikali kutia mguu hapo, mbona Ummy mwalimu hajasema kitu nae ni mwanamke? Jide alishindwa kufunga mdomo matokeo Gadna kamaliza maneno watajuana wenyewe.
 
Hivi wana ushahidi wa video au lah? Hivi ni kweli Gadner alimtaja Jide kwenye hiyo kauli?.....
 
Bonge la muvi limeingia mjini bado la moto, mi nawatakia kheri kwenye marumbano yao nasubiria nani atabwaga manyanga,japo inaonekana Jide yupo kishari shari zaidi. Gadna alichukulie kwa busara zote hili swala maana ikifika kwenye kesi inakuwa ni 50/50 hadi kesi ikitolewa hukumu ndio unaanza kupumua. Na hadi Jide na wanasheria wake wameamua kufanya hivi basi kuna vitu wameshajiandaa navyo si wajinga kiasi hiko wanajua wanachokifanya, japo kuna watu wanahisi Jide kakurupuka mi siamini kama kakurupuka na ukiiangalia kwa juu juu au kama tunavyosikia ni kama hakuna ushahidi unaojitosheleza kwa Gadna kutiwa hatiani,ila yeye (Jide) na wanasheria wake si wapuuzi wa kiwango tunachodhani wanacho.
 
Watu mnaichukulia poa hii ishu, lakini Gardner asipojiangalia inamcost
 
kabla ya kukurupuka inabidi watafutwe wataalam wa kiswahili..... watufafanulie kama neno "kukojozwa,kukojoza" lipo kwenye msamiati wa kiswahili na kama lipo tujue maana yake.....ukubwa wa neno ama vepe! Unaweza kuta hilo neno ni kumuimbia mpenzi wako nyimbo kabla hajalala
 
Hakuna kesi yoyote hapo, na hakuna sababu ya G kuomba msamaha.
 
Inapofika issue za kesi na mahakama, hakuna jambo dogo....usishangae underdog anatoka triumphant...mambo ya kisheria sio rahisi kiivyo kama tunavyochukulia. Tuwape muda tutapata matokeo.
 

Maandiko ya wasomi,misamiati na kamusi zipo,watu watafutwe wa nini?
Tuache uvivu wa kusoma vitabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…